Naingia ktk maisha ya ndoa

Naingia ktk maisha ya ndoa

muhala.jr

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2014
Posts
751
Reaction score
659
Heri iwe nanyi.....nimeamua kufany maamuz my magumu Kama kijana...Leo 15/9. Nafunga ndoa maeneo ya ukonga Mombasa...karibun ... naambatanisha Na sendoff picha iliyofanyik alhamis
IMG-20180913-WA0020.jpg
IMG-20180914-WA0015.jpg
 
Heri iwe nanyi.....nimeamua kufany maamuz my magumu Kama kijana...Leo 15/9. Nafunga ndoa maeneo ya ukonga Mombasa...karibun ... naambatanisha Na sendoff picha iliyofanyik alhamisView attachment 866571View attachment 866572
Hongera sana kijana, naamini umechagua mtu sahihi kwa ajili ya maisha yako, Ila ufahamu tu sisi waafrika ni watu wa maisha ya extended family. Hivyo huyo mkeo asije awakawaona ndugu zako ni kero, na yale maisha ya kula baga mnatoka nje kuvinjari anaweza akayakosa pia avumilie tu
 
Back
Top Bottom