Naibu Waziri Elimu katika kashfa vyeti

ELIAS MSUYA wa gazeti la mwananchi ndiye mwandishi wa habari hiyo na amelipwa fedha na watu kadhaa kumchafua mbunge wetu tutapambana naye
Mimi ntakuwa tayari kujitokeza kama shahidi kuthibitisha utapeli wa Waziri Mulugo.

Nathibitisha kuwa tulisoma na Dick Mulungu pamoja na Philip Mulugo Songea Boys, na Philip Mulugo alifeli Form VI 1996, tena alifeli peke yake darasa zima.
 
Suala la kughushi (kutumia cheti cha Mulungu kuajiriwa) ni suala linalompotezea uhalali wa kuwa kwenye nafasi yake.

Lakini ameonekana kwa dhahiri kuwa ni kweli hakidhi kiwango cha kuwa waziri, kwa kweli hata uafisa elimu wa wilaya hafai.

Suala la Naibu wa Wizara ya Elimu ni suala linalogusa maslahi ya Watanzania. Mulugo jiuzulu mwenyewe utabaki na heshima kidogo.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...uruma-pumzika-tuachie-wizara-yetu-jamani.html

https://www.jamiiforums.com/habari-...375515-nisaidien-hiv-wazir-ammim-ni-nani.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/377389-waziri-mulugo-tupe-ukweli-wa-tuhuma-hizo.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...i-aligushi-jina-la-mtu-no-strict-vetting.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ziri-mulugo-amemaliza-utata-wa-jina-lake.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/377465-waziri-mulugo-azidi-kuandamwa.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...elimu-wa-tanzania-anasubiri-nini-ofisini.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/393904-kikwete-mulugo-waudanganya-umma.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ri-wa-elimu-philip-mulugo-adanganya-tena.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-ya-elimu-na-mawaziri-vihiyo-tangu-hapo.html

https://www.jamiiforums.com/jamii-p...eh-yaani-wana-wewe-hawakuachi-iii-ng%92o.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/410910-mulugo-apuuza-kelele-za-chadema.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-ni-mzigo-kwa-serikali-jk-aliwachagua-vp.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...aanze-na-mawaziri-wake-sio-wauguzi-pekee.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...shwe-na-bunge-baada-ya-kufanyiwa-usahili.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...3-maswali-magumu-kwa-naibu-waziri-mulugo.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/423144-mwesiga-baregu-vs-mulugo.html
 
HILI WALA SIYO LA KUSHANGAA KWANINI WALIKIPIGA MARUFUKU KILE KITABU CHA PHD FEKI LETENI MUONE KAMA WATU HAWJATEKWA TENA HAPA NDO KAMCHEZO KAO SIKU HIZI.:dizzy::dizzy:
 
Ana kazi kwa kweli

Bado visiwa vya Zimbabwe

Suala la kughushi (kutumia cheti cha Mulungu kuajiriwa) ni suala linalompotezea uhalali wa kuwa kwenye nafasi yake.

Lakini ameonekana kwa dhahiri kuwa ni kweli hakidhi kiwango cha kuwa waziri, kwa kweli hata uafisa elimu wa wilaya hafai.

Suala la Naibu wa Wizara ya Elimu ni suala linalogusa maslahi ya Watanzania. Mulugo jiuzulu mwenyewe utabaki na heshima kidogo.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...uruma-pumzika-tuachie-wizara-yetu-jamani.html

https://www.jamiiforums.com/habari-...375515-nisaidien-hiv-wazir-ammim-ni-nani.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/377389-waziri-mulugo-tupe-ukweli-wa-tuhuma-hizo.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...i-aligushi-jina-la-mtu-no-strict-vetting.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ziri-mulugo-amemaliza-utata-wa-jina-lake.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/377465-waziri-mulugo-azidi-kuandamwa.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...elimu-wa-tanzania-anasubiri-nini-ofisini.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/393904-kikwete-mulugo-waudanganya-umma.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ri-wa-elimu-philip-mulugo-adanganya-tena.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-ya-elimu-na-mawaziri-vihiyo-tangu-hapo.html

https://www.jamiiforums.com/jamii-p...eh-yaani-wana-wewe-hawakuachi-iii-ng%92o.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/410910-mulugo-apuuza-kelele-za-chadema.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-ni-mzigo-kwa-serikali-jk-aliwachagua-vp.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...aanze-na-mawaziri-wake-sio-wauguzi-pekee.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...shwe-na-bunge-baada-ya-kufanyiwa-usahili.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...3-maswali-magumu-kwa-naibu-waziri-mulugo.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/423144-mwesiga-baregu-vs-mulugo.html
 
ELIAS MSUYA wa gazeti la mwananchi ndiye mwandishi wa habari hiyo na amelipwa fedha na watu kadhaa kumchafua mbunge wetu tutapambana naye

Kimenuka kwa mbunge wenu.kama ninyi munalidhika na kuongozwa na kihiyo ndiyo maana mukamchaguwa.mchukuweni kihiyo wenu aendelee kuwa mbunge wenu lakini kwa swala la uwaziri ni la kitaifa hatuwahitaji vihiyo watuongoze.
 
...AONDOKE! ili tupate msamiati mwingine wa U-MULUGO maana ule wa U-KIHIYO umeishapitwa na wakati...!:mad::mad:
 
acheni wivu wa kijinga huyu alifanyiwa vetting kabla ya kupewa uwaziri siyo mnakurupukia hoja kama mko chooni
 
JINA HALISI: Philipo Augustino Mulugo
ELIMU: "FAILURE" Darasa la Saba, 1988
JINA FEKI: Hamimu Hassan
ELIMU: Darasa la Saba, 1989 (Baada ya kufeli mwaka 1988)
JINA FEKI: Hamimu Augustino
ELIMU: "O-Level" 1990~1993
JINA FEKI: Hamimu Mulugo
ELIMU: "A-Level" 1994~1996
JINA FEKI: Dick Aron Mulungu
KAZI: Mwalimu katika Shule ya Sekondari ya Southern Highlands. Hii ni baada ya kutumia vyeti vya rafiki yake aitwaye Dick Aron Mulungu ili kupata kazi ya ualimu. Pamoja na kutokuwa na cheti cha ualimu, aliteuliwa kuwa "headmaster" baada ya mmiliki wa shule hiyo kufariki.
LEO HII: Philipo Augustino Mulugo ni Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi.


17795_10152657469525405_40975854_n.jpg
 
JINA HALISI: Philipo Augustino Mulugo
ELIMU: "FAILURE" Darasa la Saba, 1988
JINA FEKI: Hamimu Hassan
ELIMU: Darasa la Saba, 1989 (Baada ya kufeli mwaka 1988)
JINA FEKI: Hamimu Augustino
ELIMU: "O-Level" 1990~1993
JINA FEKI: Hamimu Mulugo
ELIMU: "A-Level" 1994~1996
JINA FEKI: Dick Aron Mulungu
KAZI: Mwalimu katika Shule ya Sekondari ya Southern Highlands. Hii ni baada ya kutumia vyeti vya rafiki yake aitwaye Dick Aron Mulungu ili kupata kazi ya ualimu. Pamoja na kutokuwa na cheti cha ualimu, aliteuliwa kuwa "headmaster" baada ya mmiliki wa shule hiyo kufariki.
LEO HII: Philipo Augustino Mulugo ni Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi.

Jamani kuteua waziri wa elimu ambaye kwanza ameishia standard seven lakini akaiba jina hadi akafika foorm six, pili hiyo form six alipata div.four, tatu alifeli standard seven hivyo akaiba jina la mtu, nne ameghushi vyeti ili kujipatia ajira. Kikwete kumteua mtu kama huyu ktuwa Naibu waziri wa elimu alifanya MAAMUZI MAGUMU SANA

APPRECIATION:post hii ni kwa hisani ya Bushman (senior JF Expert Member).
 
Huenda hata kura za kumfanya awe Mbunge anaweza kuwa aliiba. Mijitu mijizi kama hii iliyozoea kupiga magumashi kwenye kila kitu huwa haiaminiki, unaweza kukuta aliiona kura hazitoshi akaamua kuchakachua huyo.

Jamaa amefoji hata dini, ni muislam kwa kuzaliwa lakini ameamua kuwa mkristo kutimiza matakwa ya jina.

Ongezea na ile ya kuwasababishia wanafunzi kufutiwa matokeo baada ya kuwapa majibu ya mtihani akishirikiana na mtoto wa kigogo mmoja wa CCM ambaye alikuwa waziri. Leo hii watoto wale wanamlaumu Hamimu Hassan kwa kuwaharibia maisha.
 
JINA HALISI: Philipo Augustino Mulugo
ELIMU: "FAILURE" Darasa la Saba, 1988
JINA FEKI: Hamimu Hassan
ELIMU: Darasa la Saba, 1989 (Sijui aliona haja gani ya kubadilisha jina hapa)
JINA FEKI: Hamimu Augustino
ELIMU: "O-Level" 1990~1993
JINA FEKI: Hamimu Mulugo
ELIMU: "A-Level" 1994~1996
JINA FEKI: Dick Aron Mulungu
KAZI: Mwalimu katika Shule ya Sekondari ya Southern Highlands. Hii ni baada ya kutumia vyeti vya rafiki yake aitwaye Dick Aron Mulungu ili kupata kazi ya ualimu. Pamoja na kutokuwa na cheti cha ualimu, aliteuliwa kuwa "headmaster" baada ya mmiliki wa shule hiyo kufariki.
LEO HII: Philipo Augustino Mulugo (MB) ni Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom