Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi,Philipo Mulugo anadaiwa kutumia ujanja katika wasifu na elimu yake ambapo katika maisha yake ya kielimu ametumia majina manne tofauti.Uchunguzi uliofanywa na gazeti la mwananchi umegundua kuwa mwaka 1988 alihitimu darasa la saba na alijulikana kwa jina la Philipo Augustine Mulugo na hakufaulu.Mwaka 1989 alirudia kwa jina la Hamimu Hassani katika shule ya msingi Rukwa mkoani Mbeya.Tena akabadili jina na kuitwa Hamimu Augustino wakati yupo Sekondari ya Mbeya Day mwaka 1990.Mwaka 1998 akaitwa Dickson Mulungo,jina la mwanafunzi mwenzie waliomaliza wote Sekondari yaSongea Boys ambaye alipata division two.
SASA HIVI HUYU MTU NI NAIBU WIZARA YA ELIMU WAKATI YEYE MWENYEWE NI BINGWA WA KUBADILI MAJINA NDIO MAANA WATOTO WANACHORA MAZOMBI.
source;gazeti la mwananchi la leo tarehe 25/03/2013.
ELIAS MSUYA wa gazeti la mwananchi ndiye mwandishi wa habari hiyo na amelipwa fedha na watu kadhaa kumchafua mbunge wetu tutapambana naye