Mtahangaika sana wana CDM.Hivi suala la Mulugo kuhusu jina liliisha tolewa maelezo lakini kwa sababu yeye ameahidi kumg'oa Sugu jimbol a mbeya 2015 mmeanza kutapata.Mwacheni apige kazi.Mbona jina la Wegesa tumeisha sahau?Fanyeni kazi acheni majungu.
Gazeti limechelewa kwa Habari kama hii
JF walishaeleza kwa undani juu ya ujanja
wa Hamimu lakini kama ana God father
Mpaka sasa Mzee wa Tanganyika&Zimbabwe anapeta tu na per diem za Serikali
Hivi JK kama jf haingii lakini gazeti nalo
halioni jamani.
Hamimu Hassan aachie ngazi japo itauma.
suala la mulugu tulilifanyia kazi sana lakini tulikwamishwa na mtu wizara ya elimu anaitwa mtandi bunyanzi. pale wizarani yaani huyu mtu ni mkorofi sijapata kuona kwa kukataa kujibu maswali simple kama mulugu alikuwa mwalim mwalim huko mbeya je alisomea ualimu wapi?? kulingana na info. tulizo nazo ni kuwa dick mulugu alipata division one mwaka 1996 je ilikuwaje asiende university mpaka mwaka 2004 aje kujiunga na open university tena kwa kujilipia yeye mwenyewe wakati angeweza kwenda udsm na kulipiwa ingawa ni mkopo ?? je alipokuwa sekondari ya highland alifukuzwa kazi je alifukuzwa kazi kwa ajili ya kufanya nini ?? ingawa vyanzo vyetu vinasema alifukuzwa kwa wizi. je mtu huyu anawezaje kuwa naibu waziri wa elimu wakati shule yake aliyokuwa akiongoza ilifungiwa na serikali kwa kughushi mitiani? mulugu ni mfanyakazi wa umma kwahiyo taarifa hizi zote inabidi zipatikane kwa wananchi. he is not a private citizen. unapokuwa mtumishi wa umma watu wana haki kujua taarifa zako muhimu kama hizi kwahiyo chadema wanaweza wakamghaghania mulugo kupitia suala hili na nimaamini atangoka tu maana limemkalia vibaya sana.