Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,200
- 27,255
Hoja ya Zungu kwa wenye akili watafikiria vizuri na kuisupport, serikali imekua ikipoteza mapato kupitia bando. Sasa hivi matumizi makubwa yamehama kutoka kwenye voicecall na kuwa kwenye bando.
Hivyo ninaomba kwa wale wenye akili waunge mkono wazo Hilo la serikali kwa kufikiria na kuja na tozo kwenye bando.
Kama alivyosema zungu makampuni ya simu pamoja na banks zina ujanja mwingi sana kwa kupata kikubwa tofauti na serikali. Hii haikubaliki.
Hivyo ninaomba kwa wale wenye akili waunge mkono wazo Hilo la serikali kwa kufikiria na kuja na tozo kwenye bando.
Kama alivyosema zungu makampuni ya simu pamoja na banks zina ujanja mwingi sana kwa kupata kikubwa tofauti na serikali. Hii haikubaliki.