Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,517
- 30,587
Wanajaribu kujisafisha kijinga sana.Ndio!
Wakapitisha na sheria ya bajeti.
Wanajaribu kujisafisha kijinga sana.Ndio!
Wakapitisha na sheria ya bajeti.
Unasema 100% ni 300% weweIssue siyo kukinzana, issue ni kwamba TOZO NI KUBWA kuliko uwezo wa watu kifedha. Tozo zilipandishwa kwa 100%, hiyo siyo sawa kabisa.
Lini ataziondoa??Naibu Spika Dr Tulia Ackson amesema bunge litazipitia kanuni za sheria ya tozo za miamala ya simu zilizoandaliwa na waziri wa fedha ili kujiridhisha kama hazikinzani kazi itakayofanywa na kamati ya sheria ndogo ya bunge.
Endapo itaonekana kanuni ziko sawa basi sheria itapelekwa kwenye bunge zima
Source: ITV habari
Mmmhgh wanataka wambebeshe MTU mzigo wa dhambiNaibu Spika Dr Tulia Ackson amesema bunge litazipitia kanuni za sheria ya tozo za miamala ya simu zilizoandaliwa na waziri wa fedha ili kujiridhisha kama hazikinzani kazi itakayofanywa na kamati ya sheria ndogo ya bunge.
Endapo itaonekana kanuni ziko sawa basi sheria itapelekwa kwenye bunge zima
Source: ITV habari
Mwigulu alituambia kwamba sheria imetungwa na bunge siyo yeye, na kwa kuwa imetungwa na kupitishwa na bunge hakuna wa kubadilisha kituTulia yupo sawa. Sheria hutungwa na bunge, ila kununi/Sheria ndogo hutungwa na waziri wa wizara husika
Siyo sawa. Sheria inaweza kubadilishwa na mamlaka iliyoitungaMwigulu alituambia kwamba sheria imetungwa na bunge siyo yeye, na kwa kuwa imetungwa na kupitishwa na bunge hakuna wa kubadilisha kitu
Ndiyo. Wao walipitisha Sheria kwamba tozo iwepo ila Sheria yenyewe inampa waziri wa fedha mamlaka ya kutunga kanuni ambazo, pamoja na mambo mengine, zinaainisha kiwango cha tozoLakini walipitisha mapendekezo ya bajeti yenye mapendekezo hayo ya tozo?
Hakika bwashee!Siyo sawa. Sheria inaweza kubadilishwa na mamlaka iliyoitunga