Naibu Nishati: Tumelazimika kutafuta wakandarasi wa bei kubwa lakini kwa uharaka. Aahidi kadhia ya umeme kukoma Januari

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,497
8,030
Naibu waziri wa Nishati amewaomba watanzania kuwavumilia na kwasasa wanarekebisha mitambo ya gesi yenye matatizo na wanaamini kufikia Januari tatizo kama litakuwa halijapungua kabisa litakuwa limekwisha.

Naibu waziri amesema wamelazimia kuwapata wakandarasi wenye gharama kubwa kurekebisha mitambo hiyo lakini kwa uharaka ili kuweza kutatua tatizo lakini sasa wamejifunza na tatizo halitajirudia.

Pia Byabato amesema kipindi kifupi kijacho watajaza maji katika bwawa la Nyerere kufanya majaribio ya uzalishaji umeme na mpaka kukamilika kwake litagaharimu jumla ya trilioni 6.5 ambapo mpaka sasa Rais Samia ameshatoa zaidi ya trilioni 4 na ukikamilika utazidi uwezo wa Tanzania kuzalisha umeme uliopo sasa.

 
Baada ya Mvua kunyesha, mnabadili visingizio?

Bado CCM mnazidi kuhangaika na "UFISADI"

Makamba alituambia Magufuli aliizeesha Mitambo,hivyo tumpe Muda airekebishe!

Baadae akabadili ikawa ni Uchakavu wa njia za kusafirishia Umeme!

Baadae ikawa ni Ukame,ingawa aliumbuliwa na Meneja wa Bwawa la Mtera!

Majuzi tena ametuambia ni Ukame nchi nzima!

Sasa Mvua zimeanza mmebadili gear kwamba ni Mitambo ya Gesi?

Makamba huyohuyo anatuambia Tanesco inao uwezo wa kuzalisha Megawati 1900.

Mahitaji na Matumizi halisi ya Watanzania nchini ni Megawati 1500 pekee.
Hivyo tunayo ziada ya megawati 400.

Lakini tunayo shortage ya Megawati 2oo kutokana na Ukame!

Je! Hizi Megawati zingine 200 kati zimeenda wapi?

Hivi hili bunge halina kamati ya Nishati?

Kama ipo mbona hatuioni ikihangaika na huu udanganyifu?

Au kwa sababu ma-Chawa kina "Musukuma" ndio wajumbe wa kamati hiyo?

CCM mnatia aibu Sana!
CCM mnatuudhi sana!
CCM mmezeeka mpaka mmeuchoka uzee!
Sasa mnatamani kuzama na CCM yenu!
 
"tume lazimika kuleta wakandrasi wenye gharama kubwa" kwamba tangu huo mradi ulipo funguliwa rasmi hawaja wahi kutengeneza wataalam wa kurekebisha matatizo yakiufundi yaki jitokeza? Yale yale ya kale yanaenda kutokea tena, yajayo haya furahishi kabisa
 
Baada ya Mvua kunyesha,mnabadili visingizio?
Bado CCM mnazidi kuhangaika na "UFISADI"

Makamba alituambia Magufuli aliizeesha Mitambo,hivyo tumpe Muda airekebishe!

Baadae akanadili ikawa ni Uchakavu wa njia za kusafirishia Umeme!

Baadae ikawa ni Ukame,ingawa aliumbuliwa na Meneja wa Bwawa la Mtera!

Majuzi ametuambia ni Ukame nchi nzima!

Sasa Mvua zimeanza mmebadili gear kwamba ni Mitambo ya Gesi?

Hivi hili bunge halina kamati ya Nishati?

Kama ipo mbona hatuioni ikihanga8ka na huu udanganyifu?

Au kwa sababu ma-Chawa kina Musukuma ndio wajumbe wa kamati hiyo?

CCM mnatia aibu Sana!
CCM mnatuudhi sana!
CCM mmezeeka mpaka mmeuchoka uzee!
Sasa mnatamani kuzama na CCM yenu!
Njia Yao iwe GIZA na UTELEZI wote wenye kuhadaa wananchi Kwa kutengeneza mgao Ili kuiba raslimali za wananchi.
 
Naibu waziri wa Nishati amewaomba watanzania kuwavumilia na kwasasa wanarekebisha mitambo ya gesi yenye matatizo na wanaamini kufikia Januari tatizo kama litakuwa halijapungua kabisa litakuwa limekwisha.

Naibu waziri amesema wamelazimia kuwapata wakandarasi wenye gharama kubwa kurekebisha mitambo hiyo lakini kwa uharaka ili kuweza kutatua tatizo lakini sasa wamejifunza na tatizo halitajirudia.

Pia Byabato amesema kipindi kifupi kijacho watajaza maji katika bwawa la Nyerere kufanya majaribio ya uzalishaji umeme na mpaka kukamilika kwake litagaharimu jumla ya trilioni 6.5 ambapo mpaka sasa Rais Samia ameshatoa zaidi ya trilioni 4 na ukikamilika utazidi uwezo wa Tanzania kuzalisha umeme uliopo sasa.

Keyword "wakandarasi wenye gharama kubwa"
 
Naibu waziri wa Nishati amewaomba watanzania kuwavumilia na kwasasa wanarekebisha mitambo ya gesi yenye matatizo na wanaamini kufikia Januari tatizo kama litakuwa halijapungua kabisa litakuwa limekwisha.

Naibu waziri amesema wamelazimia kuwapata wakandarasi wenye gharama kubwa kurekebisha mitambo hiyo lakini kwa uharaka ili kuweza kutatua tatizo lakini sasa wamejifunza na tatizo halitajirudia.

Pia Byabato amesema kipindi kifupi kijacho watajaza maji katika bwawa la Nyerere kufanya majaribio ya uzalishaji umeme na mpaka kukamilika kwake litagaharimu jumla ya trilioni 6.5 ambapo mpaka sasa Rais Samia ameshatoa zaidi ya trilioni 4 na ukikamilika utazidi uwezo wa Tanzania kuzalisha umeme uliopo sasa.

Hawaogopi kabisa yani! WIZI WA MCHANA KWEUPEE
 
Naibu waziri wa Nishati amewaomba watanzania kuwavumilia na kwasasa wanarekebisha mitambo ya gesi yenye matatizo na wanaamini kufikia Januari tatizo kama litakuwa halijapungua kabisa litakuwa limekwisha.

Naibu waziri amesema wamelazimia kuwapata wakandarasi wenye gharama kubwa kurekebisha mitambo hiyo lakini kwa uharaka ili kuweza kutatua tatizo lakini sasa wamejifunza na tatizo halitajirudia.

Pia Byabato amesema kipindi kifupi kijacho watajaza maji katika bwawa la Nyerere kufanya majaribio ya uzalishaji umeme na mpaka kukamilika kwake litagaharimu jumla ya trilioni 6.5 ambapo mpaka sasa Rais Samia ameshatoa zaidi ya trilioni 4 na ukikamilika utazidi uwezo wa Tanzania kuzalisha umeme uliopo sasa.

January Tena yule Boss
 
Back
Top Bottom