Nahitaji kuchukua mkopo mdogo hapa ofisini, sasa kuna form za wadhamini kama mbili ila anatakiwa mtu anayefanya serikalini au kwenye shirika kubwa linalotambuka. Mkopo ni mdogo tu na ni hapa hapa ofisini ninapofanyia kazi sio kwenye taasisi za mikopo. Unaweza kuja kuhakikisha ninapofanyia, HAIITAJIKI UWEKE MALI AU USEME UNA MALI GANI, ni kaform ka kujaza tu. nitakupoza kiasi kizuri tu, tutakubaliana. Nimeshapata mmoja bado mmoja.
Msianze kusema tafuta ndugu zako, wengine kwenye familia zetu sisi ndio tupo kwenye mfumo wa ajira. ASANTENI, location ni Dar
Msianze kusema tafuta ndugu zako, wengine kwenye familia zetu sisi ndio tupo kwenye mfumo wa ajira. ASANTENI, location ni Dar