mtume wawatu
JF-Expert Member
- Oct 30, 2016
- 997
- 1,078
Habari za muda huu ndugu zangu watanzania. kutokana na changamoto zinazoletwa na uwezo mdogo wa bodi ya mikopo kwa elimu ya juu, napenda kufahamu ni taasisi ipi inayoweza kutoa mkopo au ufadhili kwa mwanafunzi anayetaka kusoma elimu ya juu hapa Tanzania hasa program za masters au phd? a nasubiri majibu yenu kwa unyenyekevu mkubwa.