Habari za wakati huu ndugu zangu, Mimi ni binti miaka 25 muhitimu wa chuo ngazi ya diploma ila sijaajiriwa na nimemaliza chuo tokea mwaka juzi.
Nakuja mbele zenu nikiomba ushauri juu ya wazo la kufanya usafi yaani natafuta watu nawaajiri wanakuwa wanakusanya uchafu katika kila kaya ambapo kwa wiki tunapita Mara mbili kwenye Nyumba za watu nachukua uchafu halafu wao wanajamii wananilipa elfu 3 au kiasi chochote tutakachokuwa tumepanga kulipana na mie nawalipa niliowaajiri nataka kuanza na mtaa mmoja kwanza ....
Vile vile usafi wa maofisini na majumbani Kama kufua nguo za watu nk
Kwa yeyote anayefanya kazi kama hii naomba pia mwongozo na jinsi ulivyoanza hadi hapo ulipo sasa
Sasa sijui pa kuanzia nilikuwa naomba ushauri wenu cha kufanya na pa kuanzia ili zoezi langu likamilike na mie niweze kujiajiri.
Napatikana Mwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuja mbele zenu nikiomba ushauri juu ya wazo la kufanya usafi yaani natafuta watu nawaajiri wanakuwa wanakusanya uchafu katika kila kaya ambapo kwa wiki tunapita Mara mbili kwenye Nyumba za watu nachukua uchafu halafu wao wanajamii wananilipa elfu 3 au kiasi chochote tutakachokuwa tumepanga kulipana na mie nawalipa niliowaajiri nataka kuanza na mtaa mmoja kwanza ....
Vile vile usafi wa maofisini na majumbani Kama kufua nguo za watu nk
Kwa yeyote anayefanya kazi kama hii naomba pia mwongozo na jinsi ulivyoanza hadi hapo ulipo sasa
Sasa sijui pa kuanzia nilikuwa naomba ushauri wenu cha kufanya na pa kuanzia ili zoezi langu likamilike na mie niweze kujiajiri.
Napatikana Mwanza
Sent using Jamii Forums mobile app