Habari wana, shikamooni wana jf,
Tumeona matokeo ya form six yametoka, bila kupoteza muda Naomba niende kwenye uzi moja kwa moja siasa tumwachie jiwe na kamati yake.
Naombeni ushauri wa utu uzima kabiasaaa kuhusu course ya kusoma chuo Bachelor degree 2020/2021.
ACSEE comb PCB matokeo Phyz D ,chem C ,Bios C Bam E, Gs D.
CSEE matokeo phyz C bios C, Chemi C, math C , Englsh B, kiswhl C , civics C , Bible knowledge C, Geography B, history C .
Wakubwa naombeni ushauri wenu, binafsi NAPENDA nikasome MD MUHAS. Je, naweza KUPATA nafasi katika chuo hicho? Ukiiangalia waliofaulu wapo wengi ushandani utakuwa mkubwa sana.
Asanteni.
Tumeona matokeo ya form six yametoka, bila kupoteza muda Naomba niende kwenye uzi moja kwa moja siasa tumwachie jiwe na kamati yake.
Naombeni ushauri wa utu uzima kabiasaaa kuhusu course ya kusoma chuo Bachelor degree 2020/2021.
ACSEE comb PCB matokeo Phyz D ,chem C ,Bios C Bam E, Gs D.
CSEE matokeo phyz C bios C, Chemi C, math C , Englsh B, kiswhl C , civics C , Bible knowledge C, Geography B, history C .
Wakubwa naombeni ushauri wenu, binafsi NAPENDA nikasome MD MUHAS. Je, naweza KUPATA nafasi katika chuo hicho? Ukiiangalia waliofaulu wapo wengi ushandani utakuwa mkubwa sana.
Asanteni.