Cefixine
Member
- Dec 17, 2019
- 22
- 28
Wakuu habarini, hii ni story ya kweli iliyonitokea na hili jambo linanipelekea kukosa amani na kuwa mtu wa stress sanaa.
Miaka kadhaa iliyopita nilipata fursa ya kuongeza elimu katika chuo kimojawapo (dsm tz). Wakati nasoma nilikutana na binti mmoja (Jeni sio jina halisi). Huyu Jeni alikuwa muislamu na mimi mkristo, nakumbuka ilikuwa ni mwezi mtukufu ndio nilianza kumzoea na kipindi nasoma sikutaka kujulikana kama naongeza elimu but niliishi kama sijaajiriwa, hivyo nikawa namsogeza karibu kama rafiki.
Kiukweli jeni alikuwa wa familia yenye uwezo sanaa,baada ya miezi sita tukawa wapenz tukaishi vizuri sanaa,baaada ya miaka kama miwili jeni alichange na kwa mara ya kwanza niligundua amenicheat na alikiri amefanya hivyo sababu kubwa alidai kuwa mimi sina muda na yeye na sometime akinihitaji hanipati,hii ni kweli kutokana mm nilikuwa nashughuli zangu nafanya na sikutaka ajue kwa kipindi hiko,tulisameheana na maisha yaliendelea miezi kama sita mbele tuliplan kuoana na mambo ya family.
Siku moja aliniaga anakwenda kuona ndug yake na atarudi baada ya siku tatu iv cha ajabu asubuhi yake namwona (tulikuwa tunaishi karibu ila yeye alikua akiishi na rafiki yake ),nilivyomwona nikampigia cm na kumuuliza kulikoni akaniambia nakuja tuongee kwel akaja akiwa kabeba pochi alivyofika akaniambia naenda uwani (hapa ndipo tatizo lilianza), alivyoenda tuu nikafungua pochi nikakuta P2 ( vidonge vya kuzuia utungaji wa mimba) zimeshatumika alivyorudi tukaongea na akaniambia aliamua kurudi usiku, nikamuuliza kuhusu p2 akanijibu kua alikuwa anahamu na mm hivyo aliamua ameze kabisa.
Baada ya mwezi nilikuwa nimetoka nae ghafla akapigiwa cm na mwanamke wakaanza kuzozana nilivyomuuliza akasema ni ndug anamsumbua, bhas nikaamua kumwita rafiki nikamwambia naomba ufatilie cm ya jeni msg zake na anachart nin kweli akafanikiwa na akaniambia kuna dada anagombana nae kua katembea na mume wake,nikamwambia naomba namba za uyo dada,baada ya week akaniambia kuna kaka ambae ni mume wa yule dada wanachart sanaa,nikachukua hizo namba
Kiukweli nilimtafuta yule kaka nikamtumia msg moja( kama upo huku nisamehe) "xx naomba achana na jeni utanikwaza na mm sitosita kukuharibi" hakunijibu chochote,siku moja nikamtafuta mke wa xx nikamweleza unamfahamu jeni kiukweli yule dada(ane) alinieleza kila kitu na picha akanipa sasa nikipiga mahesabu ile siku niliyomkuta jene na p2 ndio siku walitkutana na kusex na xx.
Baada ya siku tatu ane (mke wa xx) alinitafuta na kuniomba tuonane kweli tulionana na tukaongea mengi akaniomba na pesa nikampa na baada ya siku 6 nililala naye, na nikaweka ushahidi ambao nilijua jeni akiona ataumia na pia xx akijua ataumia, na kweli walijua ila baada ya kujua yule mpenz wang tuligombana na alinilaumu sanaa kwa kile kitendo na hata mume wa yule dada ilibidi anitafute ila nikamwambia nilikutumia msg nikikutaja uachane na mpenz wangubl uligoma na hukujibu so na wew pata uchungu,baada ya hapo yule mwanamke hatuelewani na masomo tulishamaliza zaid ya miaka sasa.
Kwanini naomba ushauri
Ndugu zang kwanzia hapo nimekuwa nakunywa pombe ila bado, kutongoza siwezi kabisa na hata nikiona mwanamke mzuri vip nikishamvua ngua namwacha na care sina hata ya salamu,nimetamani kutembea na vitoto 21-25 nimevichoka nimejaribu watu wazima 35-45 nimewashindwaa( binafsi nina 30).
Nimenunua malaya ila hua silali na mwanamke bila kumpima HIV na homa ya ini (hepatits B) na katika haya nimesha wapima wanawake na nilikutana na +ve. Kwa sasa najiona kama nadata na haya maisha kisa hili jambo na huenda nikashidwa kulimaliza, naombeni ushauri nifanye nini maana naumia sanaa na sijui pa kutokea ni wapi?
Miaka kadhaa iliyopita nilipata fursa ya kuongeza elimu katika chuo kimojawapo (dsm tz). Wakati nasoma nilikutana na binti mmoja (Jeni sio jina halisi). Huyu Jeni alikuwa muislamu na mimi mkristo, nakumbuka ilikuwa ni mwezi mtukufu ndio nilianza kumzoea na kipindi nasoma sikutaka kujulikana kama naongeza elimu but niliishi kama sijaajiriwa, hivyo nikawa namsogeza karibu kama rafiki.
Kiukweli jeni alikuwa wa familia yenye uwezo sanaa,baada ya miezi sita tukawa wapenz tukaishi vizuri sanaa,baaada ya miaka kama miwili jeni alichange na kwa mara ya kwanza niligundua amenicheat na alikiri amefanya hivyo sababu kubwa alidai kuwa mimi sina muda na yeye na sometime akinihitaji hanipati,hii ni kweli kutokana mm nilikuwa nashughuli zangu nafanya na sikutaka ajue kwa kipindi hiko,tulisameheana na maisha yaliendelea miezi kama sita mbele tuliplan kuoana na mambo ya family.
Siku moja aliniaga anakwenda kuona ndug yake na atarudi baada ya siku tatu iv cha ajabu asubuhi yake namwona (tulikuwa tunaishi karibu ila yeye alikua akiishi na rafiki yake ),nilivyomwona nikampigia cm na kumuuliza kulikoni akaniambia nakuja tuongee kwel akaja akiwa kabeba pochi alivyofika akaniambia naenda uwani (hapa ndipo tatizo lilianza), alivyoenda tuu nikafungua pochi nikakuta P2 ( vidonge vya kuzuia utungaji wa mimba) zimeshatumika alivyorudi tukaongea na akaniambia aliamua kurudi usiku, nikamuuliza kuhusu p2 akanijibu kua alikuwa anahamu na mm hivyo aliamua ameze kabisa.
Baada ya mwezi nilikuwa nimetoka nae ghafla akapigiwa cm na mwanamke wakaanza kuzozana nilivyomuuliza akasema ni ndug anamsumbua, bhas nikaamua kumwita rafiki nikamwambia naomba ufatilie cm ya jeni msg zake na anachart nin kweli akafanikiwa na akaniambia kuna dada anagombana nae kua katembea na mume wake,nikamwambia naomba namba za uyo dada,baada ya week akaniambia kuna kaka ambae ni mume wa yule dada wanachart sanaa,nikachukua hizo namba
Kiukweli nilimtafuta yule kaka nikamtumia msg moja( kama upo huku nisamehe) "xx naomba achana na jeni utanikwaza na mm sitosita kukuharibi" hakunijibu chochote,siku moja nikamtafuta mke wa xx nikamweleza unamfahamu jeni kiukweli yule dada(ane) alinieleza kila kitu na picha akanipa sasa nikipiga mahesabu ile siku niliyomkuta jene na p2 ndio siku walitkutana na kusex na xx.
Baada ya siku tatu ane (mke wa xx) alinitafuta na kuniomba tuonane kweli tulionana na tukaongea mengi akaniomba na pesa nikampa na baada ya siku 6 nililala naye, na nikaweka ushahidi ambao nilijua jeni akiona ataumia na pia xx akijua ataumia, na kweli walijua ila baada ya kujua yule mpenz wang tuligombana na alinilaumu sanaa kwa kile kitendo na hata mume wa yule dada ilibidi anitafute ila nikamwambia nilikutumia msg nikikutaja uachane na mpenz wangubl uligoma na hukujibu so na wew pata uchungu,baada ya hapo yule mwanamke hatuelewani na masomo tulishamaliza zaid ya miaka sasa.
Kwanini naomba ushauri
Ndugu zang kwanzia hapo nimekuwa nakunywa pombe ila bado, kutongoza siwezi kabisa na hata nikiona mwanamke mzuri vip nikishamvua ngua namwacha na care sina hata ya salamu,nimetamani kutembea na vitoto 21-25 nimevichoka nimejaribu watu wazima 35-45 nimewashindwaa( binafsi nina 30).
Nimenunua malaya ila hua silali na mwanamke bila kumpima HIV na homa ya ini (hepatits B) na katika haya nimesha wapima wanawake na nilikutana na +ve. Kwa sasa najiona kama nadata na haya maisha kisa hili jambo na huenda nikashidwa kulimaliza, naombeni ushauri nifanye nini maana naumia sanaa na sijui pa kutokea ni wapi?