Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 15,096
- 8,904
Toloka uje nasema toloka uje
Hehe...kuna kipindi hawa mbwa mwitu walikuwa wanakuja kwa kasi basi ikabidi polisi wawe wanaenda kwenye vigodoro kuimalisha ulinzi,sasa siku niliyocheka ni pale ilipopigwa nyimbo yao ile wanasema "mida ya kazi"...polisi wakazuia mziki maana ikifika hapo hiyo nyimbo basi wahuni huanza kutoa kweli sime waanze kazi.