Nahitaji nyimbo za singeli

Nahitaji nyimbo za singeli

Umeelewa.......?.....

Job true true


Preta mi nafkiri jamaa amemaanisha kuwa ni KAAAAZI KWELI KWELI.

Anyway, hizi nyimbo kwa kweli hata mi nilipata wakati mgumu mno kujua zinaitwaje kwa kweli.

Ni hizi nyimbo za vitoto vya siku hizi vya kihuni. Wenyewe wanaita nyimbo sjui za vigodoro kama skosei. Sjui ni nyimbo za mahadhi gani aisee, na hata maneno wanayotumia humo mmmmh, acha tu.

Sioni ladha ya kuskiliza hizi nyimbo kwa kweli kwanza hata temple (speed) ya nyimbo zenyewe tu jinsi zinavyoenda kwa kweli acha tu.

Vijana wa sasa huwaambii kitu kwa hizi nyimbo niliuliza juzi ndio nikaambiwa zinaitwa hivyo sjui ni something like SENGELI au SINGELI watajua wenyewe, na nafkiri hii kitu wameasisi toka kwa MSAGASUMU.

Kuna katoto kamoja hapa mtaani kenyewe kanasema kuwa kamerekodi nyimbo kama 20 hivi nikawauliza mnarekodi vipi wakasema elf 5 unarekodi nyimbo 3 i was like (whaaaaat) ?, wakasema wanarekodia sjui virtual dj by looping any beat.

Ngoja wadau wataweka hapa hizo nyimbo mleta mada ngoja waje wenye nazo sjui wamelala saa hizi maana ni watu wa vigodoro na hata wa bodaboda nawaskia wakizipiga siku hizi, nasubiri ziingie kwenye KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARDS.
 
Last edited by a moderator:
Nielewe wapi......

Najaribu kufikiria singelini nini? Au anamaanisha single????

tatizo wewe mshua sana hebu copy hii url kisha userchh kwenye youtube app uone kisengeli hit song huku kwetu

http://www.youtube.com/watch?v=KGY2dV251LQ&feature=youtube_gdata_player
 
KIOO yaani hizo singeli nimezijulia hapa loh...
MO11 sio wa kishua...nahisi uzee unanyemelea!!!
 
Last edited by a moderator:
Baada ya Kova kuufuta mchiriku vijana wamebuni aina mpya ya ngoma...hii ni singeli na kwa bahati nzuri kwenye kampeni za ccm na chadema kulikuwako na singeli kwa ajili ya hamasa.

''TINGA TINGA TINGA LIKO UWANJANI''

WANAOSEMA NA WASEME SISI HATUJALI''
 
tatizo wewe mshua sana hebu copy hii url kisha userchh kwenye youtube app uone kisengeli hit song huku kwetu

http://www.youtube.com/watch?v=KGY2dV251LQ&feature=youtube_gdata_player
Weka hii link vizuri mkuu
 
Preta mi nafkiri jamaa amemaanisha kuwa ni KAAAAZI KWELI KWELI.

Anyway, hizi nyimbo kwa kweli hata mi nilipata wakati mgumu mno kujua zinaitwaje kwa kweli.

Ni hizi nyimbo za vitoto vya siku hizi vya kihuni. Wenyewe wanaita nyimbo sjui za vigodoro kama skosei. Sjui ni nyimbo za mahadhi gani aisee, na hata maneno wanayotumia humo mmmmh, acha tu.

Sioni ladha ya kuskiliza hizi nyimbo kwa kweli kwanza hata temple (speed) ya nyimbo zenyewe tu jinsi zinavyoenda kwa kweli acha tu.

Vijana wa sasa huwaambii kitu kwa hizi nyimbo niliuliza juzi ndio nikaambiwa zinaitwa hivyo sjui ni something like SENGELI au SINGELI watajua wenyewe, na nafkiri hii kitu wameasisi toka kwa MSAGASUMU.

Kuna katoto kamoja hapa mtaani kenyewe kanasema kuwa kamerekodi nyimbo kama 20 hivi nikawauliza mnarekodi vipi wakasema elf 5 unarekodi nyimbo 3 i was like (whaaaaat) ?, wakasema wanarekodia sjui virtual dj by looping any beat.

Ngoja wadau wataweka hapa hizo nyimbo mleta mada ngoja waje wenye nazo sjui wamelala saa hizi maana ni watu wa vigodoro na hata wa bodaboda nawaskia wakizipiga siku hizi, nasubiri ziingie kwenye KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARDS.

kuwa na heshima vitu vikianzia huku kwetu mnavidharau eti vya kihuni kisa hamvijui

Mnakera

Unatakiwa uulize kwa wanaojua vizuri kisha uelezwe ila kwa dharau hizi utabaki na ujinga wako na wote wenye akili kama zenu

Uzalendo unaanza na vitu vya ndani sio kisa huvipendi ndio kuviita vya kihuni

Fresh wenyewe tunaenjoy na uhuni wetu
 
Last edited by a moderator:
Asante sana KIOO kwa kunielewesha.........japo sina kumbukumbu ......kama niliwahi kusikia singeli........pls mkuu MO11 nenda na sisi polepole.........kama alivyosema BADILI TABIA.......inawezekana kweli uzee unatunyemelea.........sasa linapokuja swala la singeli.......inatuwia vigumu sana..........
 
Last edited by a moderator:
KIOO yaani hizo singeli nimezijulia hapa loh...
MO11 sio wa kishua...nahisi uzee unanyemelea!!!

Aah wapi wewe wa kishua, juzi nilikuona na Vanguard Mbezi beach, ole uje kwetu Mwananyamala komakoma tunakunyonyoa manyoya, ndo utajua kisingeli ishu gani
 
Last edited by a moderator:
Hizo nyimbo E fm jmos wanazipiga kuanzia asubuhi,na nilipo shangaa hadi radio uhuru ilikuwa inapiga nyimbo hizo zile zilizoimbiwa ccm.
 
mambo yetu hayo watoto wa uswazi,hahah hahahaa hahaa

Lile singeli la pale jangwani siku ya ufunguzi lilikuwa balaa....sikulisifia kwa kuwa nilikuwa kikampeni zaidi.

hebu weka hizo singeli zako kwenye waptrick na mitandao mengine tudownload.

by the way unawakilisha na kuwasilisha vizuri lakini nikushauri potezea kidogo manyimbo ya siasa....rudi kwenye biashara utatoka.
 
Back
Top Bottom