Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,694
- 3,982
Nina miaka 40+, elimu Shahada ya miaka 15 iliyopita. Nina shughuli zangu binafsi, naishi DSM, na wakati mwingine husafiri kwenye shughuli zangu za kikazi.
Nahitaji mwenzi ambaye kadri tutakavyofahamiana ndivyo tutajua kama tunaweza kuwa wachumba au laah. Kwa maana tunahitaji kuamua kwa pamoja.
Awe na angalau elimu ya kidato cha 6 na kuendelea. Au asikose cheti fulani. Awe na ufahamu wa lugha ya Kingereza. Awe msafi wa miguu, mikono, kucha na mwili wote kwa ujumla, rangi yoyote ya asili.
Muhimu awe na hips, napenda mwanamke mwenye hips pana. Hili nasisitiza sababu sipendi nimdanganye au nimpotezee mtu muda.
Umri wake uanzia miake 25-35, akiwa na mtoto ni vyema akaniambia mapema na tukakaa kujadiliana tufanye nini. Sichukii watoto. Awe mwaminifu na anayejiamini. Mwerevu kichwani, mwenye mawazo ya maendeleo na aliyetayari kufanya biashara kama hana kazi, awe na wazo la biashara husika.
Awe tayari kupima afya na pia kabla ya yote tuweze kubadilishana picha kabla ya kufikia hatua ya kuonana. Nasema hivi ili tuepushe kusumbuana.
Mimi ni mtu ninayekuwa bize na sipendi kuhangaika tena na mahusiano. Nahitaji mtu ambaye tutaelewana atanielewa. Kwahiyo nakuwa wazi mapema ili tusipotezeane muda hata kidogo. Nasisitiza awe na umbo zuri lenye nyama, shepu ni muhimu kwangu maana navutiwa na hilo. Sipendi niwe mnafiki.
Nahitaji mwenzi ambaye kadri tutakavyofahamiana ndivyo tutajua kama tunaweza kuwa wachumba au laah. Kwa maana tunahitaji kuamua kwa pamoja.
Awe na angalau elimu ya kidato cha 6 na kuendelea. Au asikose cheti fulani. Awe na ufahamu wa lugha ya Kingereza. Awe msafi wa miguu, mikono, kucha na mwili wote kwa ujumla, rangi yoyote ya asili.
Muhimu awe na hips, napenda mwanamke mwenye hips pana. Hili nasisitiza sababu sipendi nimdanganye au nimpotezee mtu muda.
Umri wake uanzia miake 25-35, akiwa na mtoto ni vyema akaniambia mapema na tukakaa kujadiliana tufanye nini. Sichukii watoto. Awe mwaminifu na anayejiamini. Mwerevu kichwani, mwenye mawazo ya maendeleo na aliyetayari kufanya biashara kama hana kazi, awe na wazo la biashara husika.
Awe tayari kupima afya na pia kabla ya yote tuweze kubadilishana picha kabla ya kufikia hatua ya kuonana. Nasema hivi ili tuepushe kusumbuana.
Mimi ni mtu ninayekuwa bize na sipendi kuhangaika tena na mahusiano. Nahitaji mtu ambaye tutaelewana atanielewa. Kwahiyo nakuwa wazi mapema ili tusipotezeane muda hata kidogo. Nasisitiza awe na umbo zuri lenye nyama, shepu ni muhimu kwangu maana navutiwa na hilo. Sipendi niwe mnafiki.