jnrs
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 504
- 233
Nilicho kugundua huku ndani watoto au vivulana vya shule vimeuvamia mtandao na Great thinkers wanajiondokea taratibu na kubakia wasomaji wa comments za kizazi laaniwa.TECNO F1 ya Tsh 150,000/ niliyoinunua Miaka Mitatu Minne iliyopita ni Smartphone Kali? Uharibikiwe kwa Kunisanifu Mkuu na Hongera yako Wewe mwenye Simu ya Milioni Tano.