loved girl
Member
- Jan 29, 2022
- 73
- 89
Umeona wapi?Hata Magari mabovu yanaokotana vile vile.
Umeona wapi?Hata Magari mabovu yanaokotana vile vile.
Badilisha headingSipendi kudanganya na kuficha nina Maisha magumu na napitia Changamoto kadhaa za Kimaisha, ila naamini nikimpata Mwanamke mwenye hali kama yangu na tukapendana, kushirikiana, tukapambana na kumuomba Mwenyezi Mungu bila Kuchoka basi Umasikini wetu utabadilika na Mafanikio kutupata.
Naitwa Caludgi Mtemi Mpota nina miaka 43. Nina Shahada ya Kwanza ya Chuo Kikuu. Ni Mkristo wa Katoliki na Kabila langu ni Mmwela.
Nakaribisha Mwanamke mwenye Umri wa kuanzia miaka 38 mpaka miaka 43 tu tafadhali.
Kama kutakuwa na Mwanamke mwingine ambaye siyo Masikini kama niliyemhitaji na atapenda kuwa nami basi Kwanza awe tayari Kuupokea huu Umasikini wangu na Kipaumbele chetu kiwe ni Kushirikiana ili tuinuke pamoja.
Nipo tayari kupima nae Afya ya Magonjwa yote makubwa na hatarishi katika Hospitali yoyote ile muda na wakati wowote akihitaji ili ajiridhishe nami na tujiridhishe sote pia Kiafya.
Kwa Mwanamke atakayekuwa na nia ya Dhati nami basi tuwasiliane kupitia email address yangu hii ya mtemi.m@yahoo.com na nakaribisha zaidi Wanawake wa walioko Dar es Salaam, Morogoro na Tanga kutokana na Ukaribu wa Kijiografia.
Sasa ujui kuna tunaotumia freebasic? Na inakubari kwenye smartphone na sim za batani?Yaani unaweza peruz jf alafu unasema wewe maskini...jamani tuna madharau kweli kweli.
Ukooni Kwako.Umeona wapi?
Sawa siwezi Kukukojolea ukasuuzika au?Miaka 43 yote
Ndiyo sasa ukubali rasmi Kunipanulia au?Badilisha heading
Mkuu nikupe siri moja kubwa sana:
Usijidanganye kuoa mwanamke maskini sana asilimia kubwa hao ndo huongoza kwa ushirikina, limbwata, hata usariti maana wengi wao huamini kwamba akipata mwenye pesa atampunguzia matatizo
Sipendi kudanganya na kuficha nina Maisha magumu na napitia Changamoto kadhaa za Kimaisha, ila naamini nikimpata Mwanamke mwenye hali kama yangu na tukapendana, kushirikiana, tukapambana na kumuomba Mwenyezi Mungu bila Kuchoka basi Umasikini wetu utabadilika na Mafanikio kutupata.
Naitwa Caludgi Mtemi Mpota nina miaka 43. Nina Shahada ya Kwanza ya Chuo Kikuu. Ni Mkristo wa Katoliki na Kabila langu ni Mmwela.
Nakaribisha Mwanamke mwenye Umri wa kuanzia miaka 38 mpaka miaka 43 tu tafadhali.
Kama kutakuwa na Mwanamke mwingine ambaye siyo Masikini kama niliyemhitaji na atapenda kuwa nami basi Kwanza awe tayari Kuupokea huu Umasikini wangu na Kipaumbele chetu kiwe ni Kushirikiana ili tuinuke pamoja.
Nipo tayari kupima nae Afya ya Magonjwa yote makubwa na hatarishi katika Hospitali yoyote ile muda na wakati wowote akihitaji ili ajiridhishe nami na tujiridhishe sote pia Kiafya.
Kwa Mwanamke atakayekuwa na nia ya Dhati nami basi tuwasiliane kupitia email address yangu hii ya mtemi.m@yahoo.com na nakaribisha zaidi Wanawake wa walioko Dar es Salaam, Morogoro na Tanga kutokana na Ukaribu wa Kijiografia.
Hasa pale tu nikikutana na Fools JF hii!!!Huyu mtoa uzi ana hasira kwelikweli😂😂😂
Usijali wakati wa Mungu ukifika ntapukutika dunian utabaki wewe na civilized wenzioSijui ni lini Nuts and Uncivilized People kama Wewe ( Nyie ) mtapungua kama siyo Kupukutika kabisa Tanzania au Duniani kabisa..
Tatizo dini tu....😔😔Sipendi kudanganya na kuficha nina Maisha magumu na napitia Changamoto kadhaa za Kimaisha, ila naamini nikimpata Mwanamke mwenye hali kama yangu na tukapendana, kushirikiana, tukapambana na kumuomba Mwenyezi Mungu bila Kuchoka basi Umasikini wetu utabadilika na Mafanikio kutupata.
Naitwa Caludgi Mtemi Mpota nina miaka 43. Nina Shahada ya Kwanza ya Chuo Kikuu. Ni Mkristo wa Katoliki na Kabila langu ni Mmwela.
Nakaribisha Mwanamke mwenye Umri wa kuanzia miaka 38 mpaka miaka 43 tu tafadhali.
Kama kutakuwa na Mwanamke mwingine ambaye siyo Masikini kama niliyemhitaji na atapenda kuwa nami basi Kwanza awe tayari Kuupokea huu Umasikini wangu na Kipaumbele chetu kiwe ni Kushirikiana ili tuinuke pamoja.
Nipo tayari kupima nae Afya ya Magonjwa yote makubwa na hatarishi katika Hospitali yoyote ile muda na wakati wowote akihitaji ili ajiridhishe nami na tujiridhishe sote pia Kiafya.
Kwa Mwanamke atakayekuwa na nia ya Dhati nami basi tuwasiliane kupitia email address yangu hii ya mtemi.m@yahoo.com na nakaribisha zaidi Wanawake wa walioko Dar es Salaam, Morogoro na Tanga kutokana na Ukaribu wa Kijiografia.
Tatizo umr
Hajasema yeye umaskini wake ni wa level gani. Naomba msijalibu kutungia sentence takwa la msingi la moyo wake. Nachojua mie ndege wafananao huruka kwa pamoja.Masikini hawezi kumiliki Smartphone wala kununua bando
Kaweka wazi ya kuwa yeye ni mkristo wa katoriki na sio mwislam usemavyo wewe. Soma Tena uzi wake.you didn't take my comment in positively manner,I should have skipped this thread but..... you are my brother in Islam and luckily enough we are facing the same shit and at least you got a balls to come out and speak your agonies..