Nahitaji Mwanamke mwenye Umasikini kama wangu ili tupendane Kidhati na tushirikiane Kuinuka Kimaisha

Sipendi kudanganya na kuficha nina Maisha magumu na napitia Changamoto kadhaa za Kimaisha, ila naamini nikimpata Mwanamke mwenye hali kama yangu na tukapendana, kushirikiana, tukapambana na kumuomba Mwenyezi Mungu bila Kuchoka basi Umasikini wetu utabadilika na Mafanikio kutupata.

Naitwa Caludgi Mtemi Mpota nina miaka 43. Nina Shahada ya Kwanza ya Chuo Kikuu. Ni Mkristo wa Katoliki na Kabila langu ni Mmwela.

Nakaribisha Mwanamke mwenye Umri wa kuanzia miaka 38 mpaka miaka 43 tu tafadhali.

Kama kutakuwa na Mwanamke mwingine ambaye siyo Masikini kama niliyemhitaji na atapenda kuwa nami basi Kwanza awe tayari Kuupokea huu Umasikini wangu na Kipaumbele chetu kiwe ni Kushirikiana ili tuinuke pamoja.

Nipo tayari kupima nae Afya ya Magonjwa yote makubwa na hatarishi katika Hospitali yoyote ile muda na wakati wowote akihitaji ili ajiridhishe nami na tujiridhishe sote pia Kiafya.

Kwa Mwanamke atakayekuwa na nia ya Dhati nami basi tuwasiliane kupitia email address yangu hii ya mtemi.m@yahoo.com na nakaribisha zaidi Wanawake wa walioko Dar es Salaam, Morogoro na Tanga kutokana na Ukaribu wa Kijiografia.
Badilisha heading
 
Mkuu nikupe siri moja kubwa sana:
Usijidanganye kuoa mwanamke maskini sana asilimia kubwa hao ndo huongoza kwa ushirikina, limbwata, hata usariti maana wengi wao huamini kwamba akipata mwenye pesa atampunguzia matatizo


Umenena vyema.

Mwanaume asomaye na afahamu hilo.

 
Vipi ushapata Ila napata guts sna wew sio maskini kama unavotuaminisha

Unachotaka mwanamke mweny mapenzi ya dhati.
Sipendi kudanganya na kuficha nina Maisha magumu na napitia Changamoto kadhaa za Kimaisha, ila naamini nikimpata Mwanamke mwenye hali kama yangu na tukapendana, kushirikiana, tukapambana na kumuomba Mwenyezi Mungu bila Kuchoka basi Umasikini wetu utabadilika na Mafanikio kutupata.

Naitwa Caludgi Mtemi Mpota nina miaka 43. Nina Shahada ya Kwanza ya Chuo Kikuu. Ni Mkristo wa Katoliki na Kabila langu ni Mmwela.

Nakaribisha Mwanamke mwenye Umri wa kuanzia miaka 38 mpaka miaka 43 tu tafadhali.

Kama kutakuwa na Mwanamke mwingine ambaye siyo Masikini kama niliyemhitaji na atapenda kuwa nami basi Kwanza awe tayari Kuupokea huu Umasikini wangu na Kipaumbele chetu kiwe ni Kushirikiana ili tuinuke pamoja.

Nipo tayari kupima nae Afya ya Magonjwa yote makubwa na hatarishi katika Hospitali yoyote ile muda na wakati wowote akihitaji ili ajiridhishe nami na tujiridhishe sote pia Kiafya.

Kwa Mwanamke atakayekuwa na nia ya Dhati nami basi tuwasiliane kupitia email address yangu hii ya mtemi.m@yahoo.com na nakaribisha zaidi Wanawake wa walioko Dar es Salaam, Morogoro na Tanga kutokana na Ukaribu wa Kijiografia.
 
Sijui ni lini Nuts and Uncivilized People kama Wewe ( Nyie ) mtapungua kama siyo Kupukutika kabisa Tanzania au Duniani kabisa..
Usijali wakati wa Mungu ukifika ntapukutika dunian utabaki wewe na civilized wenzio
 
Sipendi kudanganya na kuficha nina Maisha magumu na napitia Changamoto kadhaa za Kimaisha, ila naamini nikimpata Mwanamke mwenye hali kama yangu na tukapendana, kushirikiana, tukapambana na kumuomba Mwenyezi Mungu bila Kuchoka basi Umasikini wetu utabadilika na Mafanikio kutupata.

Naitwa Caludgi Mtemi Mpota nina miaka 43. Nina Shahada ya Kwanza ya Chuo Kikuu. Ni Mkristo wa Katoliki na Kabila langu ni Mmwela.

Nakaribisha Mwanamke mwenye Umri wa kuanzia miaka 38 mpaka miaka 43 tu tafadhali.

Kama kutakuwa na Mwanamke mwingine ambaye siyo Masikini kama niliyemhitaji na atapenda kuwa nami basi Kwanza awe tayari Kuupokea huu Umasikini wangu na Kipaumbele chetu kiwe ni Kushirikiana ili tuinuke pamoja.

Nipo tayari kupima nae Afya ya Magonjwa yote makubwa na hatarishi katika Hospitali yoyote ile muda na wakati wowote akihitaji ili ajiridhishe nami na tujiridhishe sote pia Kiafya.

Kwa Mwanamke atakayekuwa na nia ya Dhati nami basi tuwasiliane kupitia email address yangu hii ya mtemi.m@yahoo.com na nakaribisha zaidi Wanawake wa walioko Dar es Salaam, Morogoro na Tanga kutokana na Ukaribu wa Kijiografia.
Tatizo dini tu....😔😔
 
you didn't take my comment in positively manner,I should have skipped this thread but..... you are my brother in Islam and luckily enough we are facing the same shit and at least you got a balls to come out and speak your agonies..
Kaweka wazi ya kuwa yeye ni mkristo wa katoriki na sio mwislam usemavyo wewe. Soma Tena uzi wake.
 
Back
Top Bottom