dazipozi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 1,137
- 106
kulalamika kote uku io avator etii? ukija kumuona je, nadhan utaonga gx mia.
ilo jina,Mx
kulalamika kote uku io avator etii? ukija kumuona je, nadhan utaonga gx mia.
Naweza beba hicho kifurushi, ila lazima nitest kitu kwanza.
kulalamika kote uku io avator etii? ukija kumuona je, nadhan utaonga gx mia.
mtafute ASHADII au BABU DC.....ukimtuma smile au lizzy imekula kwako.
Siamini kama hata wewe ni domo zege
Siamini kama hata wewe ni domo zege
ujanja wote unashindwa kumwambia mwenyewe mpaka utume mtu?
limefanyaje mkuu?ilo jina,Mx
nazipenda na za kwako pia! mia.hahahahaaa...!!. comment zako nazipenda sana. Mia