financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,144
- 40,723
Unamaanisha hii Dezemba kutulia ni ngumu?😂😂Kwenye kutulia sasa na hii dec
Unamaanisha hii Dezemba kutulia ni ngumu?😂😂Kwenye kutulia sasa na hii dec
Ngumu kuliko maelezooUnamaanisha hii Dezemba kutulia ni ngumu?😂😂
Haina uhusiano wowote na maisha yanguId yako tu inatatanisha
Kwanini Lee? Why inakua tofauti na miezi mingine?😀Ngumu kuliko maelezoo
Mipango yote ya mwaka ujue huwa inakumbukwa mwez huu wakat mwez wenywe mgumu kukubaliananna ww...tunashtuka wengiKwanini Lee? Why inakua tofauti na miezi mingine?😀
Ni kweli eeh mwezi umekaa ki holiday sana kwa wote tu.Mipango yote ya mwaka ujue huwa inakumbukwa mwez huu wakat mwez wenywe mgumu kukubaliananna ww...tunashtuka wengi
25 vs 45 parefu. Wapo watu wa makamo 35 mpaka 38 hapo wanakuwa wamesha experience mengi na kutulia. 45 ni kama baba yako asee.Ili aweze kunihudumia huduma ninazostahili as his partner,vijana me hapana kwakwel uongo mwingi iman kwao imekufa let me try huku kwngne nionee
Hahaaaaaa, vigezo na masharti kuzingatiwa. Hata kama ana shida lazima aweke vigezoHaya mambo ya wenye shida kupangia masharti wanaowaomba msaada yameanza lini..?!
Mahusiano sio lazima uhudumiwe, 25 una mtoto na hauna muelekeo mpaka sasa hv wa mahusiano.Ili aweze kunihudumia huduma ninazostahili as his partner,vijana me hapana kwakwel uongo mwingi iman kwao imekufa let me try huku kwngne nionee
Kabisa..bado mdg, na ameshachoka ukikutana nae kwenye 30's inakuaje.At 25 wewe Ni single Mother Na umeshachoka hekaheka? Hizo heka heka ulianza Lini? Hemu achana Na watu wazima kwanza; rekebisha matatizo yako kwanza maana hata hao Vijana hawana shida; wewe ndo una shida.
Kama huna mpango wakuzaa tena nicheki tuyajengeHabarini wapendwa,kama kichwa kinavojieleza nahitaji mtu mzma wa kutulia nae nimechoka hekaheka za vijana na uwongo wao.
Mtu mzma ninaemuhitaji awe na umri kuanzia miaka 45 mpaka 60,dini yoyote,kabila lolote pia awe anajiweza kiuchumi.
Mimi ni single mama wa mtoto mmoja niko na 25 years dini ni mkristo pia ni mjasiriamali.
Note:Awe tayari kucheck afya pia nahitaji wa kutulia nae sio hit and run
Serious inbox me
Nani wa kufanywa chambo kati yangu na wwNi kweli eeh mwezi umekaa ki holiday sana kwa wote tu.
Chambo ya nini tena Mkuu? Sijaelewa sorryNani wa kufanywa chambo kati yangu na ww
Ata mm nahisi sjaelewa kwa nini nimeandika chambo...yaan nan wa kuteseka na mwez huuChambo ya nini tena Mkuu? Sijaelewa sorry
Wote tunateseka lkn, ila nyie zaidi maana pesa inawatoka home na kwa michepuko pia, bado January yenye siku 100 inakuja inabidi ujiandae mwezi huu😂Ata mm nahisi sjaelewa kwa nini nimeandika chambo...yaan nan wa kuteseka na mwez huu
Sawaaaaa,thank you.Mahusiano sio lazima uhudumiwe, 25 una mtoto na hauna muelekeo mpaka sasa hv wa mahusiano.
Unachokitafuta sio sahihi, ushauri wangu jipe muda hata mwaka mmoja utakua na maamuzi sahihi.
Omba pia Mungu akupe mtu sahihi, ila ukitaka mtu mzima na kusema vijana hawajatulia sio sahihi, means kuna siku ukiwa na hayo mahusiano atatokea mtu utampenda na utaamuacha huyo mzee.
Jipe muda, jipe muda.
Nmetulia na mmoja 😆😆😆Wote tunateseka lkn, ila nyie zaidi maana pesa inawatoka home na kwa michepuko pia, bado January yenye siku 100 inakuja inabidi ujiandae mwezi huu😂
Point..Hahaaaaaa, vigezo na masharti kuzingatiwa. Hata kama ana shida lazima aweke vigezo
Me pia nko independentKwanini usiwe ww sawa kiuchumi, au isiwe moja ya kigezo pesa mtafute wote??
Unaitaji msaada sio mapenzi, bado haujui unapokosea.
Pole sana.