Nahitaji mtu mzima nitulie nae

Miak 25 unataka mzee wa miaka 60. Unasema eti vijana waongo. Huenda ww ndio una shida. Vijana wanaojitambua wapo tena ni wengi.
 
Walio ndani ya ndoa wanatamani kutoka na walio nje ya ndo wanatamani kuingia
 
Kwa nyuzi zote za huyu dada nilizopitia nahisi namjua ni dada mmoja anaependa mafanikio bila kufanya kazi nilishawahi kubadilishana nae mawazo na kumshauri Sana ila hakuwahi niambia kama anamtoto ila location anazotaja nahisi namjua

Salome popote ulipo kama ni wewe nakushauri acha hizo mbishe kwanza ni mdada furani mjuaji mwenye sauti ya ukali na nilimwambia hicho sikumficha kama ndo wewe ndugu ushauri wangu ni uleule pambana dada hela yako tamu kuliko ya mtu
 
Kwa nyuzi zote za huyu dada nilizopitia nahisi namjua ni dada mmoja anaependa mafanikio bila kufanya kazi nilishawahi kubadilishana nae mawazo na kumshauri Sana ila hakuwahi niambia kama anamtoto ila location anazotaja nahisi namjua

Salome popote ulipo kama ni wewe nakushauri acha hizo mbishe kwanza ni mdada furani mjuaji mwenye sauti ya ukali na nilimwambia hicho sikumficha kama ndo wewe ndugu ushauri wangu ni uleule pambana dada hela yako tamu kuliko ya mtu
Eti salome
 
Haijalishi, lakini Mzee mwenye miaka 45 technically anaweza kukuzaa wewe. Unless uwe umedanganya umri wako.
Unaposema vijana ni hit & run Hilo lipo kila sehemu hata kwa wazee. Kuna wazee wengi tu hawapati haki za ndoa nyumbani sababu wake zao wamezeeka na wamekuwa wasumbufu. Nao wapo mawindoni wanatafuta pa kumpunguzia semen. Na hawataki kuvunja ndoa zao. Be careful

Na ndio maana baadhi ya wachangiaji wamekutahadharisha kuwa wewe ndio una tatizo, you need to do something on yourself for yourself by yourself. Ndipo mwanaume yeyote ataona value ndani yako, na atakupenda.
Kumbuka: mwanaume ana machaguzi hata 200 ya mwanamke amtakaye, je mwenendo wako, tabia zako, Vaa yako, ongea yako zinaweza kuku support mbele ya mtu anayetafuta mke?
Je nikitia timu yangu ya upelelezi mtaani kwako, jamii inayokuzunguka inasemaje kuhusu wewe?
😄😄😄😄
 
Kwa nyuzi zote za huyu dada nilizopitia nahisi namjua ni dada mmoja anaependa mafanikio bila kufanya kazi nilishawahi kubadilishana nae mawazo na kumshauri Sana ila hakuwahi niambia kama anamtoto ila location anazotaja nahisi namjua

Salome popote ulipo kama ni wewe nakushauri acha hizo mbishe kwanza ni mdada furani mjuaji mwenye sauti ya ukali na nilimwambia hicho sikumficha kama ndo wewe ndugu ushauri wangu ni uleule pambana dada hela yako tamu kuliko ya mtu
Wewe una shida gan kwan??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom