Nahitaji msaada wenu wa haraka

Nahitaji msaada wenu wa haraka

Binafsi naona umejipendelea wewe umeeleza udhaifu na mapungufu ya mwenza wako afu unataka sisi tu conclude

Sasa ni hivi mahusiano ni hiyari na pia mahusiano hujengwa na watu wawili ambapo kila mmoja hubeba 50% sasa je wewe umetimiza wajibu wako kwa nafasi yako?

Au unataka yeye tu akupigie, kila wakati akupe zawadi ?
Je maisha maisha ya mwenza wako unayajua vizuri?
Inawezekana alitumia nguvu nyingi kukupata lkn je ndio maisha yake?
Na mengine mengi

Ushauri wangu; kama unampenda mshape awe kama utakavyo sio kila siku aanze yeye kukupa zawadi hata wewe muoneshe umuhima wa zawadi mjali tambua mapungufu yake mwandae kuwa mume and so on nimechoka kuandika
 
Kigezo Cha kwanza kwenye mapenzi ni mawasiliano. Ukishagundua kuwa mwenza wako hatilii maanani suala la kuwasiliana na wewe ,hiyo ni taa nyekundu (ishara mbaya) katika mapenzi yenu.

Kama hauna namna nyingine yeyote ya kufanya komaa naye.
Asante kwa ushauri
 
Hujachelewa Kabisa, Kwasasa Tulia Usifanye League
Endelea Na Majukumu Yako Umeshajifunza Kuwa Ukijiachia Watu Watanata Na Beat Yaani Watapiga Wanaondoka
Asante Kennedy
 
Binafsi naona umejipendelea wewe umeeleza udhaifu na mapungufu ya mwenza wako afu unataka sisi tu conclude

Sasa ni hivi mahusiano ni hiyari na pia mahusiano hujengwa na watu wawili ambapo kila mmoja hubeba 50% sasa je wewe umetimiza wajibu wako kwa nafasi yako?

Au unataka yeye tu akupigie, kila wakati akupe zawadi ?
Je maisha maisha ya mwenza wako unayajua vizuri?
Inawezekana alitumia nguvu nyingi kukupata lkn je ndio maisha yake?
Na mengine mengi

Ushauri wangu; kama unampenda mshape awe kama utakavyo sio kila siku aanze yeye kukupa zawadi hata wewe muoneshe umuhima wa zawadi mjali tambua mapungufu yake mwandae kuwa mume and so on nimechoka kuandika
Nilijitahidi kufanya kwa upande wangu, kumpigia, kumtext, kumtembelea kwake na vizawadi.

Hiyo nguvu nyingi kunipata sijaelewa.. lakini imefikia hatua akinipigia ana shida na hapo atanichatisha na kunipigaia lakini ikiisha tu shida yake basi anarudi tena mbali.

Najitahidi kumpigia na kumtext lakini ndio inakuwa ya upande mmoja zaidi.

Nashukuru kwa ushauri wako
 
Umeandika ki huruma kwa kweli, namim naachaga ivo ivo kwa kweli ila kuanzia leo nitabadilika kumbe inawaumizaga
 
Hivi miaka hii bado kuna watu mna muda wa kubembelezana ilhali ushaona hutakiwi. Wee achana nae fanya yako, huyo anakutumia tu kama hujui.
 
Mapenz n pasua kichwa Sana lakn inabid TU tuende nayo

Ushauri ... Usimuache kwanza wewe mchunguze kwanza mienendo yake vuzuri huenda Kaz zinamkeep bize au Kuna mtu amechukua nafasi yako jiridhishe kwanza kwa haya Mambo

Ukigundua Kuna mtu mwite mueleze ukweli msikilize maon yake

Kama atabisha na wewe unaushahid bas jua TU huyo s wako



...JUA TU WANAUME HATURIDHIKI NA MWANAMKE MMOJA .....
 
Nilijitahidi kufanya kwa upande wangu, kumpigia, kumtext, kumtembelea kwake na vizawadi.

Hiyo nguvu nyingi kunipata sijaelewa.. lakini imefikia hatua akinipigia ana shida na hapo atanichatisha na kunipigaia lakini ikiisha tu shida yake basi anarudi tena mbali.

Najitahidi kumpigia na kumtext lakini ndio inakuwa ya upande mmoja zaidi.

Nashukuru kwa ushauri wako
Kwa iyo akiwa na shida ya kunyandua tu ndio anakutafuta aisee pole sanaa cha muhimu kaa nae ongea nae kwa undani akueleze tatizo nini na kama ana mtu mwingine akueleze ukweli tu hata kama itakuuma ila ukweli utakuwa ushaujua
 
Dada nmeumia sana mimi nipo single kuna dada kaniacha yani daah!! Naomba nafasi hiyo unaonekana so humble
 
Back
Top Bottom