Umri wangu miaka 34. Mwajiriwa serikalini, Natafuta mke wa kuoa mwenye sifa zifuatazo:
1. Awe na umri kuanzia miaka 20 Hadi 30
2. Awe na Elimu kuanzia ngazi ya chuo
3. Awe mweupe au maji ya kunde
4. Awe na hofu ya Mungu
5. Awe amezaa au hajaza lakini asiwe na zaidi ya mtoto moja
6. Awe mkristo
7. Aweanajua kanuni ya maendeleo
8. Awe anajua misingi ya uchumi
9. Awe mwanamke asiye waza pesa Sana badala yake awe wa kuwaza zaidi mbinu na njia za kupata pesa.
Kama umekidhi vigezo naomba uni pm But Ni mwanamke aliye serious tu, Kama hauko serious au hujakidhi vigezo pita kushoto.
1. Awe na umri kuanzia miaka 20 Hadi 30
2. Awe na Elimu kuanzia ngazi ya chuo
3. Awe mweupe au maji ya kunde
4. Awe na hofu ya Mungu
5. Awe amezaa au hajaza lakini asiwe na zaidi ya mtoto moja
6. Awe mkristo
7. Aweanajua kanuni ya maendeleo
8. Awe anajua misingi ya uchumi
9. Awe mwanamke asiye waza pesa Sana badala yake awe wa kuwaza zaidi mbinu na njia za kupata pesa.
Kama umekidhi vigezo naomba uni pm But Ni mwanamke aliye serious tu, Kama hauko serious au hujakidhi vigezo pita kushoto.