Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,412
- 119,170
Hivi angekuwa na uwezo huo angekuja hapa kweli????Tafuta mwanamke tia mimba akuzalie
Wanaume akikili sijui huwa mnapeleka wapi, hata niwe nakufa maskini, sikupi mtoto wangu kirahis namna hiyo.