Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 8,974
- 23,429
Pole sana mkuu maana nathani unapita kwenye hali isio ya kawaida ndio maana unauhitaji huo.
Ingawa sio rahisi sana kama unavyotaka lakini binasfi nakutakia yote mema.
Ila usilazimishe sana kisichopo kiwe, na pia wanasema kikuepukacho kina heri ndani yake.
Ingawa sio rahisi sana kama unavyotaka lakini binasfi nakutakia yote mema.
Ila usilazimishe sana kisichopo kiwe, na pia wanasema kikuepukacho kina heri ndani yake.