Jamani mm ninauliza mwenye uelewa mimi napenda kujiajiri ishu ni mtaji je ule mpango wa serikali kutoa mkopo kwa dhamana ya cheti umefikia wapi? na ule wa NSSF masharti yake vipi nataka kuanzisha maabara yangu binafsi mwenye aidea na hii nasukumwa sana na kujiajiri nasio kuajiriwa hayaaa jamani nalitua mezani mnisaidie