Nahitaji marafiki wakuchat nao through whasp kubadilishana mawazo yenye kujengana. Mr Emmanuel 0713791233
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee maisha magumu hivi unawaza kuchat chat tuuu, sema tuu unatafta walimbwende hapa maana watoto wa kiume kwa kiume hua hawachat.
Mabinti wenyewe siku hizi hawataki kuchat chat wanataka sms za TIGOpesa, Mpesa na Airtel money basi kama unataka kuchat chat na shangazi zako.
Duuh hyo ni kweli hua nashangaa sana. Sisi Wanaume noumah sana angekua binti ooooh mapemaa sana.Huu uzi ungekua wa Demu
Saa hii ingefika ukurasa wa 214
UNA MIAKA MINGAPINahitaji marafiki wakuchat nao through whasp kubadilishana mawazo yenye kujengana. Mr Emmanuel 0713791233
Sent using Jamii Forums mobile app