Wana JF mambo niaje,
Mimi nauliza eti katika haya maisha bila kuwa na SHOBO na watu hauwezi ukapata washikaji wala mademu? Au hata mchongo wowote ule?
Mimi binafsi sinaga Shobo na watu ila natumaini nitapataga watu au marafiki wa kuendana na nao.
Karibu ufunguke.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nauliza eti katika haya maisha bila kuwa na SHOBO na watu hauwezi ukapata washikaji wala mademu? Au hata mchongo wowote ule?
Mimi binafsi sinaga Shobo na watu ila natumaini nitapataga watu au marafiki wa kuendana na nao.
Karibu ufunguke.
Sent using Jamii Forums mobile app