fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,682
- 23,991
Madenge yupo busy twitter sikuhizi 😂😂😂Madenge hivi bado yupo hai? Nmemkumbuka Sana ase yuko kimya
Madenge yupo busy twitter sikuhizi 😂😂😂Madenge hivi bado yupo hai? Nmemkumbuka Sana ase yuko kimya
HahaaaaaCCM ni jarida tosha la Sani na lodi lofa ni huyu baba mwenye nyumba alieyumba!
MnoooYule mtunzi alijua kuitendea haki sanaa yake.
Tena anavituko sana kule twitterMadenge yupo busy twitter sikuhizi 😂😂😂
Mkuu nyumbani yapo maana mama alikuwa hapitwi nayo miaka ile ya 1995's yakitoka mara moja kwa mwezi mpaka miaka ya 2005's lilipoanza kutolewa kama gazeti. Akimaliza kusoma tu zamu ya watoto, nipo mkoa kikazi kama utakuwa hujayapata mpaka tar 15 nitakupatia. We upo mkoa gani?
Ni swala la muda tu. Naona wahitaji ni wengi, nitafanya hivyo na kuanzisha trhread yake ikijitegemeamkuu,nakuomba u scan utuwekee hapa tafadhari
Kule twitter mpaka pombe anakunywa na kuitetea sanaTena anavituko sana kule twitter
Ni swala la muda tu. Naona wahitaji ni wengi, nitafanya hivyo na kuanzisha trhread yake ikijitegemea
Mkuu usisahau kuni tag, kama utafanikiwa. natanguliza shukraniNi swala la muda tu. Naona wahitaji ni wengi, nitafanya hivyo na kuanzisha trhread yake ikijitegemea
Swadakta.....Muasisi wa hili gazeti Said Bawji, alishafariki siku nyingi zilizopita. Akaliendeleza kaka yake aitwae Amri ambaye kwa sasa anaishi Tanga, ambako ndiko kwao.

Nico ndo muanzilishi wa lile gazeti... enzi izo said anafanya kaz benk tanga... alipoielewa ile idea akamshawishi nico waiprint kwa ushirikiano(niko awe anasanifu, said awe anatoa pesa)... jina wakaita sani (SAid na NIco) baadae biashara ilivokua said akamdhulumu nico kwa kuwa jamaa wa watu hana tamaa akamuacha tu.... uaminifu kupita kias na kutojali kulimponza nico.... alilipwa mia4 tu ya kipindi icho tena kama msaada sio malipo ya mgao... so sadMuasisi wa hili gazeti Said Bawji, alishafariki siku nyingi zilizopita. Akaliendeleza kaka yake aitwae Amri ambaye kwa sasa anaishi Tanga, ambako ndiko kwao.
Tupo pamoja mkuu. Nakumbuka ile michoro ya mwanzo mwanzo alikuwa anachora huyo Nico Ye Mbajo.Nico ndo muanzilishi wa lile gazeti... enzi izo said anafanya kaz benk tanga... alipoielewa ile idea akamshawishi nico waiprint kwa ushirikiano(niko awe anasanifu, said awe anatoa pesa)... jina wakaita sani (SAid na NIco) baadae biashara ilivokua said akamdhulumu nico kwa kuwa jamaa wa watu hana tamaa akamuacha tu.... uaminifu kupita kias na kutojali kulimponza nico.... alilipwa mia4 tu ya kipindi icho tena kama msaada sio malipo ya mgao... so sad
Tupo pamoja mkuu. Nakumbuka ile michoro ya mwanzo mwanzo alikuwa anachora huyo Nico Ye Mbajo.
Baada ya kuachana na SANI, alianzisha gazeti lake lingine, jina nimelisahau kidogo!
Duh hii ndo nasikia kwa mara ya kwanza. Kumbe jina la Sani mixer ya Said ni Nico duuh!!.Nico ndo muanzilishi wa lile gazeti... enzi izo said anafanya kaz benk tanga... alipoielewa ile idea akamshawishi nico waiprint kwa ushirikiano(niko awe anasanifu, said awe anatoa pesa)... jina wakaita sani (SAid na NIco) baadae biashara ilivokua said akamdhulumu nico kwa kuwa jamaa wa watu hana tamaa akamuacha tu.... uaminifu kupita kias na kutojali kulimponza nico.... alilipwa mia4 tu ya kipindi icho tena kama msaada sio malipo ya mgao... so sad
Duh hii ndo nasikia kwa mara ya kwanza. Kumbe jina la Sani mixer ya Said ni Nico duuh!!.
Said alifariki huyu Nico yukoapi?
Walimuingiza king nae akaingia watu wakaondoka na kitita choote. Lodi lofa na Ndumila kuwili, ile pair haijawah tokea hahahahahahlah aisee i wish.home ndio hivyo hatuna utunzaj yalikua kila toleo lazima linunuliwe. ndio nimejifunzia kusoma enzi hizo. hadith ya komando Obi na mzee Ole. na mzee meko kuja kununua trekta mpya mjin kakutana na lodilofa na yule mlev wakamuingiza mjin kumpeleka show room na kumuambia ajihesabie trekta ni lake
Mkuu Storyteller. Naona kama unamwanga mzuri wa namna ya kuwapata hawa watu! unasaidiaje hapo!?Anaishi maeneo ya segerea nafkir