fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,684
- 23,997
Sijajua, ngoja siku ifike. Sio lazima wote mpate sawa au yote yaende kwa mtu mmoja. Nia wote tufurahiSasa mzee utayagawa vipi!?
Sijajua, ngoja siku ifike. Sio lazima wote mpate sawa au yote yaende kwa mtu mmoja. Nia wote tufurahiSasa mzee utayagawa vipi!?
Jamaa umetisha sana! hahahahahaha!Unajua ile mzazi anakuja nalo alafu hajamaliza kusoma siku hiyohiyo na asubuhi anaenda nalo kazini, tuliobaki nyumbani tunaomba akirudi awe amemaliza ili nasi tupate kuchungulia, nione madenge kamwingiaje mzee wake, pimbi kaopoa mshangingi wa aina gani alafu mission ikafeli, ndumilakuwili nae katika harakati zake za wizi bila kusahau maneno ya shombo ya mzee Lodilofa na kigari chake kile kwa wazee wenzake hapo bado hujamalizia tambo za Betina kwa Zena huku bi mkubwa wake Betina akila serveillence na ungo wake home kwa Zena kumnyong'onyesha siku ya pambano mwanae ashinde😂😂😂😂
Hahahah daah siku zinakimbia sana mkuu,hebu muombe lift lord lofa hapo chini usikie majibu yake yatakavyokuaUnajua ile mzazi anakuja nalo alafu hajamaliza kusoma siku hiyohiyo na asubuhi anaenda nalo kazini, tuliobaki nyumbani tunaomba akirudi awe amemaliza ili nasi tupate kuchungulia, nione madenge kamwingiaje mzee wake, pimbi kaopoa mshangingi wa aina gani alafu mission ikafeli, ndumilakuwili nae katika harakati zake za wizi bila kusahau maneno ya shombo ya mzee Lodilofa na kigari chake kile kwa wazee wenzake hapo bado hujamalizia tambo za Betina kwa Zena huku bi mkubwa wake Betina akila serveillence na ungo wake home kwa Zena kumnyong'onyesha siku ya pambano mwanae ashinde![]()
Bongo vs TabasamuZama zangu nilikuta Ni gazeti la sani si jarida. Visa vya madenge, lodi lofa, bush stars, kifimbo cheza na wachafuzi wa lugha, Zena na Betina.
Ila jarida nimekumbuka lile la Bongo tulikuwa watoto story za kiutu uzima lakini hivo hivo tunazifutatilia kibishi .
Good old days indeed
Huyu jamaa alikuwa na dharau sana pamoja na maneno ya kebehi! hahahaHahahah daah siku zinakimbia sana mkuu,hebu muombe lift lord lofa hapo chini usikie majibu yake yatakavyokuaView attachment 1554329
Hizo kumbukumbu adimu gawa kopi mazee, og unakuwa nayo mwenyewe.Mkuu nyumbani yapo maana mama alikuwa hapitwi nayo miaka ile ya 1995's yakitoka mara moja kwa mwezi mpaka miaka ya 2005's lilipoanza kutolewa kama gazeti. Akimaliza kusoma tu zamu ya watoto, nipo mkoa kikazi kama utakuwa hujayapata mpaka tar 15 nitakupatia. We upo mkoa gani?
Kuna wajuzi wa mambo hayo watupe msaada wa mawasiliano au upatikanaji wake.Hilo jarida lilikuwa linazalishwa hadi miaka ya hivi karibuni. Ila lilibadilishwa likawa kigazeti fulani hivi kama haya ya udaku.
Sina hakika kama kwa sasa bado linazalishwa.
Ongea na watu wa magazeti uulizie ofisi za hao jamaa unaweza kuwapata.
Hao akina Bawji lazma watakuwa maalwatani wa hapa town au tembelea kuna uzi kule uwanja wa historia utapata vichwa vya kukusaidiaKuna wajuzi wa mambo hayo watupe msaada wa mawasiliano au upatikanaji wake.
Asante sana mkuu. Nalifanyia kaziHao akina Bawji lazma watakuwa maalwatani wa hapa town au tembelea kuna uzi kule uwanja wa historia utapata vichwa vya kukusaidia
Kuna mtu alikua anaitwa Mapung'o...alikua anapiga sana mpira alishaenda mpaka Madrid huko...akitokea Bush Stars...dah! What a moment!Unajua ile mzazi anakuja nalo alafu hajamaliza kusoma siku hiyohiyo na asubuhi anaenda nalo kazini, tuliobaki nyumbani tunaomba akirudi awe amemaliza ili nasi tupate kuchungulia, nione madenge kamwingiaje mzee wake, pimbi kaopoa mshangingi wa aina gani alafu mission ikafeli, ndumilakuwili nae katika harakati zake za wizi bila kusahau maneno ya shombo ya mzee Lodilofa na kigari chake kile kwa wazee wenzake hapo bado hujamalizia tambo za Betina kwa Zena huku bi mkubwa wake Betina akila serveillence na ungo wake home kwa Zena kumnyong'onyesha siku ya pambano mwanae ashinde😂😂😂😂
Kipepe ni HumphreyCCM ni jarida tosha la Sani na lodi lofa ni huyu baba mwenye nyumba alieyumba!
Au ukipenda kwa jina jingine anaitwa MEKO😂😂😂Kuna mtu alikua anaitwa Mapung'o...alikua anapiga sana mpira alishaenda mpaka Madrid huko...akitokea Bush Stars...dah! What a moment!
Jamaa ana kitambi ila anakipiga sana mpaka wahispania wakapagawa. Jamaa alikulaga shavu la kwenda Real Madrid😂😂Wapi Golden boy Mapungo wa bush stars?
View attachment 1554334
Haka kagari sikuwahi kuona kako gereji, kalikiwa kako vizuri sana.Hahahah daah siku zinakimbia sana mkuu,hebu muombe lift lord lofa hapo chini usikie majibu yake yatakavyokuaView attachment 1554329
Af we jamaa bwana yani shida zote hizi unairinganisha CCM na burudani kweli?CCM ni jarida tosha la Sani na lodi lofa ni huyu baba mwenye nyumba alieyumba!
Muasisi wa hili gazeti Said Bawji, alishafariki siku nyingi zilizopita. Akaliendeleza kaka yake aitwae Amri ambaye kwa sasa anaishi Tanga, ambako ndiko kwao.Hao akina Bawji lazma watakuwa maalwatani wa hapa town au tembelea kuna uzi kule uwanja wa historia utapata vichwa vya kukusaidia