Nahitaji kupata majani ya mnanaa

sisame

JF-Expert Member
Nov 1, 2016
365
320
Ndugu zangu nawasalimu!
Huenda lisiwe jukwaa sahihi lakini naomba msaada; Ni wapi hapa TZ naweza kupata majani ya Mnanaa (Curry Leaves).

Wale wazoefu masoko kama kisutu, Buguruni na sehemu zingine, hata wale wa Morogoro au Tanga wanijuze nina ndugu huko nitawaagiza, nina shida nayo sana waungwana nisaidieni kunijuza wapi yanapatikana
 
Ndugu zangu nawasalimu!
Huenda lisiwe jukwaa sahihi lakini naomba msaada; Ni wapi hapa TZ naweza kupata majani ya Mnaanaa (Curry Leaves). Wale wazoefu masoko kama kisutu, Buguruni na sehemu zingine, hata wale wa Morogoro au Tanga wanijuze nina ndugu huko nitawaagiza, nina shida nayo sana waungwana nisaidieni kunijuza wapi yanapatikana
Eleza lengo kwa uwazi huenda ukawasaidia na wengine.
 
Mnaanaa ndo majani yapi hayo mkuu sisame?

Ebu elezea kidogo hata picha ili niweze kuelewa yaweza kuwa nayajua hayo majani kwa jina jingine.
 
Kwa msaada wa Google
images.jpg
 
Mnanaa ni mmea ambao unapatikana sana katika nchi mbalimbali ikiwemo za hapa Afrika Mashariki, huku wengi wakiutumia mmea huu kwa kuupanda kama maua katika nyumba zao pamoja na bustanini.


Mmea huu huwasidia sana kinamama ikiwemo kuondoa maumivu wakati wa hedhi, kizazi kuuma pamoja na kuongeza maziwa kwa kina mama wanaonyonyesha.

Aidha, mnanaa pia husaidia watu wenye tatizo la misuri inayokaza ama kustuka , kutuliza maumivu ya sikio, kutuliza maumivu, sambamba na kutibu homa ya manjano.

Mnanaa pia husaidia maradhi ya koo, minyoo kwa watoto wenye chai yake,kuzui kichefuchefu na kutapika, kutoa gesi tumboni na kuzuia kuharisha na matatizo ya tumbo.

Hata hivyo, mnanaa bado unauwezo wa kutibu maradhi mengi zaidi ambayo ni pamoja na matatizo ya meno, ambapo mhusika hupaswa kusukutua au kutafuna mmea huo, huku ukifahamika kwa kuwa dawa nzuri ya kulinda meno yasiweze kumeguka au kung’oka na kuvuja damu kwenye fizi. SOURCE GOOGLE FROM DKMANDAI.com
 
Mnanaa ni mmea ambao unapatikana sana katika nchi mbalimbali ikiwemo za hapa Afrika Mashariki, huku wengi wakiutumia mmea huu kwa kuupanda kama maua katika nyumba zao pamoja na bustanini.


Mmea huu huwasidia sana kinamama ikiwemo kuondoa maumivu wakati wa hedhi, kizazi kuuma pamoja na kuongeza maziwa kwa kina mama wanaonyonyesha.

Aidha, mnanaa pia husaidia watu wenye tatizo la misuri inayokaza ama kustuka , kutuliza maumivu ya sikio, kutuliza maumivu, sambamba na kutibu homa ya manjano.

Mnanaa pia husaidia maradhi ya koo, minyoo kwa watoto wenye chai yake,kuzui kichefuchefu na kutapika, kutoa gesi tumboni na kuzuia kuharisha na matatizo ya tumbo.

Hata hivyo, mnanaa bado unauwezo wa kutibu maradhi mengi zaidi ambayo ni pamoja na matatizo ya meno, ambapo mhusika hupaswa kusukutua au kutafuna mmea huo, huku ukifahamika kwa kuwa dawa nzuri ya kulinda meno yasiweze kumeguka au kung’oka na kuvuja damu kwenye fizi. SOURCE GOOGLE FROM MANDAIBLOG
KUMBE HAUTIBU NGUVU ZA KIUME BASI WANAUME HUU HAUTUHUSU SANA
 
Mnanaa ni mmea ambao unapatikana sana katika nchi mbalimbali ikiwemo za hapa Afrika Mashariki, huku wengi wakiutumia mmea huu kwa kuupanda kama maua katika nyumba zao pamoja na bustanini.


Mmea huu huwasidia sana kinamama ikiwemo kuondoa maumivu wakati wa hedhi, kizazi kuuma pamoja na kuongeza maziwa kwa kina mama wanaonyonyesha.

Aidha, mnanaa pia husaidia watu wenye tatizo la misuri inayokaza ama kustuka , kutuliza maumivu ya sikio, kutuliza maumivu, sambamba na kutibu homa ya manjano.

Mnanaa pia husaidia maradhi ya koo, minyoo kwa watoto wenye chai yake,kuzui kichefuchefu na kutapika, kutoa gesi tumboni na kuzuia kuharisha na matatizo ya tumbo.

Hata hivyo, mnanaa bado unauwezo wa kutibu maradhi mengi zaidi ambayo ni pamoja na matatizo ya meno, ambapo mhusika hupaswa kusukutua au kutafuna mmea huo, huku ukifahamika kwa kuwa dawa nzuri ya kulinda meno yasiweze kumeguka au kung’oka na kuvuja damu kwenye fizi. SOURCE GOOGLE FROM MANDAIBLOG
Asante Numbisa, sasa naupataje....

Wapi?
 
Hee nitakukimbia(nilikua najileta ujue)unatafuta tiba gani vileee!!!
Kwan mim nlikwambia uje? kwanza uje mara ngap?
nmesema mmea HAUTIBU NGUVU ZA KIUME KWAHYO WANAUME WASIHANGAIKE NAO. haimaanish kua natafuta tiba
 
Back
Top Bottom