mkuu kama uko dar nenda njia ya kuingilia dampo au nenda quality plaza kuna watu wameipark pale mkuu.
mkuu mimi nilichukua pale dampo kutoa container bandarini na kwenda kushusha mbezi kwa 250,000Nipo Dar mkuu.
Nilifika jana maeneo ya Quality Plaza aisee jamaa wanaanza na 3m kwa kazi kama hiyo mkuu.
Nikasema ngoja kwanza nipande jukwaani mkuu. Ila dampo sijafika bado.
Zipo crane nzuri kwa bei poa kabisaNipo Dar mkuu.
Nilifika jana maeneo ya Quality Plaza aisee jamaa wanaanza na 3m kwa kazi kama hiyo mkuu.
Nikasema ngoja kwanza nipande jukwaani mkuu. Ila dampo sijafika bado.
poa mkuu utayapataHuna mawasiliano nae huyo jamaa.
Bado mkuu, natoa kontena kigamboni napeleka mbagala chamazi, bei yako ipoje?Kama hujapata tuwasiliane pm tuna crean kuanzia Tani 16 Hadi 70
Mkuu naomba nisaidie mawasiliano ya wa crane aliyepo Dampo. AhsanteNimeipata mkuu. Thanks.
Mzee umefukua kaburi huyu mleta mada hayupo humu kitambo sana almost a year! Mi mwenyewe namtafuta kwa ishu flani sijaweza mpataMkuu naomba nisaidie mawasiliano ya wa crane aliyepo Dampo. Ahsante
Duuh!Mzee umefukua kaburi huyu mleta mada hayupo humu kitambo sana almost a year! Mi mwenyewe namtafuta kwa ishu flani sijaweza mpata