chamng'asi
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 211
- 385
Naomba Msaada kwa Wenye kujua Nauli ya basi kutoka mji wa Nairobi nchini Kenya mpaka Kisumu.
Na je, safari hii huwa ya masaa mangapi?
Ikiwapendeza pia nijue nauli ya kutoka Dar es Salaam mpaka Nairobi na Mambo ya Kuzingatia kabla na wakati wa safari.
Nasisitiza tena nauli ya Mabasi sio Ndege.
Nawasilisha
Na je, safari hii huwa ya masaa mangapi?
Ikiwapendeza pia nijue nauli ya kutoka Dar es Salaam mpaka Nairobi na Mambo ya Kuzingatia kabla na wakati wa safari.
Nasisitiza tena nauli ya Mabasi sio Ndege.
Nawasilisha