Nahitaji kujiunga na CCM

Nahitaji kujiunga na CCM

king ndeshi10:36today
watu ktoka kaskazini mwa tanzania wameamka kuliko namba kubwaya watanzania,hata maendeleo ya mtu mmoja mmoja yanaridhisha ukilinganisha na sehemu nyingine, so kuichagua chadema ni sehemuya kujitambua kwa watu kutoka kaskazini,the rest of other dump tz inhabitants are just filling the place, am disturbed.msipoamka mpaka mama zenu wataokota makopo. Kidumu chama cha wauza pembe.

utaokota makopo wewe na ukoo wako! Stupid
 
Kwani we umelaaniwa? kujiunga mcc ni zaidi ya kulaaniwa!
 
ccm huna haja ya kuomba kujiunga ukiwa na akili kama zako tayari ni mwana ccm,ulishawahi kuona mtu anaomba kujiunga mirembe?
 
Habari wanaJF,

Mimi ni kijana mkereketwa wa CCM nisiye mwanachama, sasa nataka kuwa mwanachama kamili.

Mipeni process za kupata kadi na kama kuna gharama yoyote inahusika.

Mimi nipo Dar.

Unaonaje ukielekea pale Lumumba ukiwauliza.
 
hamuoni kuwa nyie ndo mlolaaniwa kwa kutoshika dola na kubaki wapinzani milele amina?

siku unaedit hiyo id ulifanya a very big editing error,badala ya kuandika mburula ukaandika mbuyura!
 
NILISHAENDA NA NINA KADI YANGU SAIVI
CCM OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE:yield::couch2:

Hapo sasa sawa, maana unatujazia thread tu hapa wakati kila kona jiji wakereketwa kama wewe wapo tele.
 
Mkuu bill thread siyo ya babu yako kujaa ndo kazi yake
 
Back
Top Bottom