mtafute Zitto kwabwe akupe process
hapa ni jukwaa gani?hapa ni jukwaa la siasa ,how comes unasema sio mahara pake?
Sory....Naomba muongozo wako tafadhali.... Unaitwa mbuyula au Mburula?Habari wanaJF,
Mimi ni kijana mkereketwa wa CCM nisiye mwanachama, sasa nataka kuwa mwanachama kamili.
Mipeni process za kupata kadi na kama kuna gharama yoyote inahusika.
Mimi nipo Dar.
Sema tu la wakosefu tutakuelewaHongera Komredi kwa kuujua ukweli, karibu tuijenge nchi yetu.
CCM ndio kimbilio la watanzania.
sory....naomba muongozo wako tafadhali.... Unaitwa mbuyula au mburula?
hapa ni jukwaa gani?
kafanye brain scanning
Ili niwe mwanachama wa cdm niwe na sifa gani
sio nataka, tayari nishajiunga leo hutaki shika bango andamana si ndo kawaida yakoUnataka kujiunga na CCM? Wazo kama hili halitakiwi kuwa kichwani mwako, wala kichwani mwangu, wala kichwani mwa mwanaume yoyote yule ambaye dhakari yake inasimama sawa sawa!
uwe ni mtu wa lawama lawama, ucyejua kujenga wala kutetea hoja kwa njia ya demokrasia ila fujo
Hongera sana mkuu kwa uamuzi sahihi, wakati sahihi, mtu sahihi. Nakushauri uulize tawi la ccm katika eneo unaloishi, yaweza kuwa ofisi ya kata, tawi, wilaya au mkoa, utapata full details, kadi inatolewa na tawi unaloishi au unapofanyia kazi mradi uchague wewe mahali utakapoweza kushiriki vikao.
pili, gharama:
kadi ni tshs 300/=
ada ni tshs 200/= kwa mwezi sawa na Tshs 2,400|= kwa mwaka.
Kuwa ccm ni ufahari, njoo tuijenge nchi.
Aje mjenge taifa au muendelee kutubomolea taifa letu..nyambafu!!!!
kweli waje mjenge taifa.......kweli nyie ni pills za kuabort!!!!!!!!!!!