kisanganyakiswata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2014
- 1,302
- 553
Safi sana kijana umejitambua
king ndeshi10:36Today
watu ktoka kaskazini Mwa Tanzania wameamka kuliko namba kubwaya watanzania,hata maendeleo ya MTU mmoja mmoja yanaridhisha ukilinganisha na sehemu Nyingine, so kuichagua chadema ni sehemuya kujitambua kwa watu kutoka kaskazini,the rest of other dump tz inhabitants are just filling the place, am disturbed.msipoamka mpaka mama zenu wataokota makopo. kidumu chama cha wauza pembe.
CCM nitaenda hata mponde vipi.
Ili niwe mwanachama wa cdm niwe na sifa gani
Unaumia na m4death yako
Safi sana kijana umejitambua
Sifa za kujiunga na chadema:
1.uwe msharishari
2.uwe tayari kuandamana bila hata ya kuuliza sababu
3.husiwe unafikiri mambo kwa kina
4.ucthubutu kuhoji kauli au vitendo vinavyofanywa na viongozi wa juu
5.adui yako mkubwa ni CCM
6.uwe mentally blind
7.sapoti kila kitu unachoambiwa na viongozi wako
8.ni marufuku kukubali kushindwa kwa hali yyt ile..!
To be continued
Habari wanaJF,
Mimi ni kijana mkereketwa wa CCM nisiye mwanachama, sasa nataka kuwa mwanachama kamili.
Mipeni process za kupata kadi na kama kuna gharama yoyote inahusika.
Mimi nipo Dar.
Utabiri wangu unaonyesha kuna hatihati uzeeni kwako ukaja kua Mchawi!!
your so cheap,unanunuliwa kwa vitu vidogo sana:evil:
watu kama nyie hatuwahitaji humu mna jukwaa lenu linaitwa mipasho kule.....hili ni jukwaa la watu wanaofikiri vizuri.
majibu yako ni unprofesional kabisa...
Mjini wakifa wajanja kumi wanazaliwa mburula mia.