Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,659
MUNGU akusamehe kwa uliwazalo
Aliwazawalo mjinga ndo linalomtokea eeeeee
Aliwazawalo mjinga ndo linalomtokea eeeeee
nashukuru sana mkuu. nawakubali sana ccm kwa mawazo yao, yaani kama wewe
Nenda kapime afya ya akili.
Du bora umejistukia mapema,sasa sijajua uko mkoa gani ila kwa kifupi tuna ofcn za ccm kila mkoa,wilaya,kata nadhani na vitongoji,so ni rahisi sana kwako,unaweza kimbia hapo chap wakakupatia,ukumbuke kwenda na passport size yako pls
Humu hakuna ofisi za CCM
Habari wanaJF,
Mimi ni kijana mkereketwa wa CCM nisiye mwanachama, sasa nataka kuwa mwanachama kamili.
Mipeni process za kupata kadi na kama kuna gharama yoyote inahusika.
Mimi nipo Dar.
Kiswahili kinakupa shida! halafu kuja hapa jamvini kuuliza namna ya kujiunga na chama cha wauaji ni hitilafu ya ubongo! bora uwahi tu hospitali kabla hujaanza kuvua nguo hadharani.wewe hamna hata aja ya kupima, si mzima, kujiunga na CCM ni ishara ya afya njema ya akili kama ulikuwa hujui
Kiswahili kinakupa shida! halafu kuja hapa jamvini kuuliza namna ya kujiunga na chama cha wauaji ni hitilafu ya ubongo! bora uwahi tu hospitali kabla hujaanza kuvua nguo hadharani.
Hospitali zipo kaka, nenda ukapimwe malaria!
Wahi au sivyo tutakupeleka kwa nguvu, eboo!!hosipitali, mkapime na aja
Hongera sana mkuu kwa uamuzi sahihi, wakati sahihi, mtu sahihi. Nakushauri uulize tawi la ccm katika eneo unaloishi, yaweza kuwa ofisi ya kata, tawi, wilaya au mkoa, utapata full details, kadi inatolewa na tawi unaloishi au unapofanyia kazi mradi uchague wewe mahali utakapoweza kushiriki vikao.
pili, gharama:
kadi ni tshs 300/=
ada ni tshs 200/= kwa mwezi sawa na Tshs 2,400|= kwa mwaka.
Kuwa ccm ni ufahari, njoo tuijenge nchi.
Kiswahili kinakupa shida! halafu kuja hapa jamvini kuuliza namna ya kujiunga na chama cha wauaji ni hitilafu ya ubongo! bora uwahi tu hospitali kabla hujaanza kuvua nguo hadharani.
yaani we MSALANI nikiona tu Avator yako mahali yeyote kwenye forum najisikiaga kuchafukwa na roho!Hongera Komredi kwa kuujua ukweli, karibu tuijenge nchi yetu.
CCM ndio kimbilio la watanzania.
Nani kakuzuia? mbona huna faida yoyote zaidi ya kuwa kichekesho tu! Mwigulu atakuwa anakutumia kama kichekesho kwenye mikutano yake kama anavyomtumia Tesha wa Igunga!CCM nitaenda hata mponde vipi.
Nani kakuzuia? mbona huna faida yoyote zaidi ya kuwa kichekesho tu! Mwigulu atakuwa anakutumia kama kichekesho kwenye mikutano yake kama anavyomtumia Tesha wa Igunga!
Habari wanaJF,
Mimi ni kijana mkereketwa wa CCM nisiye mwanachama, sasa nataka kuwa mwanachama kamili.
Mipeni process za kupata kadi na kama kuna gharama yoyote inahusika.
Mimi nipo Dar.