Nahitaji kuanza kutumia pombe

Nahitaji kuanza kutumia pombe

Dogo, nakuonea wivu sana kwa umri wako huo. Natamani kama binadamu Mungu angetupatia uwezo wa ku-reverse umri, basi ningefanya hivyo! Dogo, anza kutengeneza maisha toka hapo ulipo, pombe za nini dogo? Nakushauri usijiingize kwenye majukumu ya kuoa (familia) kwa sasa hivi, fikiria zaidi maisha ya baadae. Watu wengi hudhani elimu sio uwekezaji, nakushauri dogo piga kitabu, na kama una mtu wa kukusaidia, nenda hadi Masters, ndipo uanze kufikiria maisha. Usikimbilie maisha kabla haujajiandaa vyema. Nakuonea wivu sana huo umri wako!
 
Kijana
Sikushauri kunywa pombe na zaidi tafuta starehe nyingine pombe kama huna hela nzuri utaishia kwenye madeni .

Pombe usipoweza kujidhibiti utakuwa na magonjwa ya zinaa kila uchwao .

Pombe ukiendekeza utafeli mipango ya maisha

Mwisho pombe ni uraibu mbaya kuacha sio rahisi .

Siongei nikiwa nyumbani naongea nikiwa bar nakunywa pombe kwa hela yangu ila sitamani uje huku .

Nilianza kunywa pombe nikiwa na miaka 14 , sasa mimi kwa maelezo yako ni baba yako , nilitamani kuacha nikiwa na miaka 29 sijafanikiwa mpaka sasa na uzee huu .

Pombe imenipunguzia heshima kwa jamii kubwa iliyodhani mimi ni mtu wa heshima kwa elimu yangu na kazi yangu .

Pombe imenipunguzia ufanisi kazini , pombe imepelekea sasa nina gonjwa lisilotibika japo lipo katika early stage hivyo naweza kupambana kupona nikiamua .

Pombe imenifanya vitu vingi kuamuliwa na ndugu na mke hata kama kitu naona naweza kuamua mwenyewe lakini bado naamuliwa kwa nguvu .

Ndugu sikushauri kunywa pombe , watakuja vijana sio muda watasema nakunywa matuputapu wambie sijaanza kunywa pombe Tanzania hivyo wakumbushe nje hakuna mataputapu .

Usinywe pombe .
Kwasasa Mbeya pazuri .
Gily nje hakuna mataputapu😂 ujue Baba wao ni wao unanifurahisha sana ila pombe miaka 14😓😤😪😩😰nimechoka
 
Nimepitia changamoto nyingi za kimaisha na sasa naona nina stress sana.

Nafikiria kuanza kutumia pombe ili niweze ku-cope na hali hii inayonipelekea kuwa na mawazo sana

Nimekuja kwenu, mnisaidie mambo yafuatayo:

01: Ni aina gani ya pombe inafaa, hasa kwa mtu anaenza.

02: Kutokana na nature ya familia yangu na kazi yangu, ikiwa itajulikana kuwa natumia pombe itawadissapont sana familia yangu na pia itaathiri kazi yangu.

Hivyo basi nataka kutumia kwa siri nikiwa nimetulia 'gheto'..hivyo pombe hiyo ni lazima iwe take-away.

Lakini pia uchumi wangu sio mzuri, naomba pombe hiyo iwe 'cheap in terms of cost' let say iwe less than 5000 per bottle.

Naomba jina la pombe ambayo ina-meet above conditions

Nawasilisha, umri middle 20's
Pombe cheap ni banana na wanzuki.
Ukimaliza kulewa kula ndizi mbivu kukata harufu au karafuu
 
Kijana
Sikushauri kunywa pombe na zaidi tafuta starehe nyingine pombe kama huna hela nzuri utaishia kwenye madeni .

Pombe usipoweza kujidhibiti utakuwa na magonjwa ya zinaa kila uchwao .

Pombe ukiendekeza utafeli mipango ya maisha

Mwisho pombe ni uraibu mbaya kuacha sio rahisi .

Siongei nikiwa nyumbani naongea nikiwa bar nakunywa pombe kwa hela yangu ila sitamani uje huku .

Nilianza kunywa pombe nikiwa na miaka 14 , sasa mimi kwa maelezo yako ni baba yako , nilitamani kuacha nikiwa na miaka 29 sijafanikiwa mpaka sasa na uzee huu .

Pombe imenipunguzia heshima kwa jamii kubwa iliyodhani mimi ni mtu wa heshima kwa elimu yangu na kazi yangu .

Pombe imenipunguzia ufanisi kazini , pombe imepelekea sasa nina gonjwa lisilotibika japo lipo katika early stage hivyo naweza kupambana kupona nikiamua .

Pombe imenifanya vitu vingi kuamuliwa na ndugu na mke hata kama kitu naona naweza kuamua mwenyewe lakini bado naamuliwa kwa nguvu .

Ndugu sikushauri kunywa pombe , watakuja vijana sio muda watasema nakunywa matuputapu wambie sijaanza kunywa pombe Tanzania hivyo wakumbushe nje hakuna mataputapu .

Usinywe pombe .
Kwasasa Mbeya pazuri .
😂 😂 Nimecheka sana kwa huu ushauri wako lakini ndo ukweli wenyewe.

Mimi ni kijana ambaye nimetumia pombe kwa muda mrefu kama miaka 9 hivi... Kiumri nipo kweny mid 20s kma mtoa mada.

Pombe haina faida yoyote lakini kuna ile raha huwa mtu anaipata akinywa(instant gratification) ndo maana kuiacha ni ngumu sana ukifikira hiyo kitu.

Mimi nilianza kupiga vitu nikiwa naenda club napiga viroba vi3 alafu naingia ndani full kujiamini tu na kubambia watoto wazuri😜... Siku hizi nimepunguza napiga vitu classic kidogo ila sijaacha.

Mwisho ni vichwa vichache sana vinavyoweza kuhimili pombe na kuitawala... Mimi nilikuwa napiga vitu majirani hawajui ilipita miezi kama sita ndipo mama mwenye nyumba kuja kushangaa kuwa natumia kilevi... 😁😁😁😁
 
Achana na pombe mkuu..

mara ya kwanza mie nilikutana tu na jamaa yangu anaenda geto kwake, tuliosoma nae primary na secondary. Kufika kule jamaa akaanza kufungua chupa nikaona sio kesi ngoja nichambe Koo.. nimekuja vitu ikafika time nikaanza kuona wenge ikabidi niage huyoooo hadi home kwanza kabla ya kwenda Getto. Kufika home nawakuta wote pale, kwakuwa ni mtu wa masihara nikafika na vijistori vya ajabu ajabu halafu najiamini kabisa Ilhali nikiwa sober huwa sijiachii vile mbele ya wazazi. Ni full kuchekacheka tu, Kila wakileta mjadala naunga nao halafu najaza vijimasihara hata kama ni suala serious. Nikaona kama pamenichosha tena nikapandisha Getto tu kulala.. Nahisi walijua nimeboost, since then hapana aisee
Una kichwa chepesi au kichwa panzi... Mimi napiga vitu ila sijawahi kuruhusu wazazi wajue... Nikienda kusalimia pombe nakaa nayo mbali na hata nikisema niboost kidogo nakuwa bubu kabisa.
 
Nimepitia changamoto nyingi za kimaisha na sasa naona nina stress sana.

Nafikiria kuanza kutumia pombe ili niweze ku-cope na hali hii inayonipelekea kuwa na mawazo sana

Nimekuja kwenu, mnisaidie mambo yafuatayo:

01: Ni aina gani ya pombe inafaa, hasa kwa mtu anaenza.

02: Kutokana na nature ya familia yangu na kazi yangu, ikiwa itajulikana kuwa natumia pombe itawadissapont sana familia yangu na pia itaathiri kazi yangu.

Hivyo basi nataka kutumia kwa siri nikiwa nimetulia 'gheto'..hivyo pombe hiyo ni lazima iwe take-away.

Lakini pia uchumi wangu sio mzuri, naomba pombe hiyo iwe 'cheap in terms of cost' let say iwe less than 5000 per bottle.

Naomba jina la pombe ambayo ina-meet above conditions

Nawasilisha, umri middle 20's
Aisee,really?So umekubali udanganyifu wa Shetani kwamba pombe itakuondolea stress,not at all.Infact turning to alkohol will only invite more problems into your life overdrinking and womanizing etc. which will lead to gross misuse of your resources and more stress.And mindyou these are not the only vices associated with overdrinking,there are a lot more including cigarette smoking,gambling and may be even drugs.Friend,do not play with the Devil, he will completely ruin your life.Once you open one avenue for him,he will open many more.

Lastly, I advice you to come to Jesus Christ.Through the Holy Spirit who Jesus will provide you will find life interesting, easy and good despite the shortfalls.Jesus Christ is your only hope, nothing else.
 
Nimepitia changamoto nyingi za kimaisha na sasa naona nina stress sana.

Nafikiria kuanza kutumia pombe ili niweze ku-cope na hali hii inayonipelekea kuwa na mawazo sana

Nimekuja kwenu, mnisaidie mambo yafuatayo:

01: Ni aina gani ya pombe inafaa, hasa kwa mtu anaenza.

02: Kutokana na nature ya familia yangu na kazi yangu, ikiwa itajulikana kuwa natumia pombe itawadissapont sana familia yangu na pia itaathiri kazi yangu.

Hivyo basi nataka kutumia kwa siri nikiwa nimetulia 'gheto'..hivyo pombe hiyo ni lazima iwe take-away.

Lakini pia uchumi wangu sio mzuri, naomba pombe hiyo iwe 'cheap in terms of cost' let say iwe less than 5000 per bottle.

Naomba jina la pombe ambayo ina-meet above conditions

Nawasilisha, umri middle 20's
Nitakushauri pombe nzuri ya kunywea geto kwa siri lakini kwanza pitia huu uzi.. Some kwa kutulia
 
Nimepitia changamoto nyingi za kimaisha na sasa naona nina stress sana.

Nafikiria kuanza kutumia pombe ili niweze ku-cope na hali hii inayonipelekea kuwa na mawazo sana

Nimekuja kwenu, mnisaidie mambo yafuatayo:

01: Ni aina gani ya pombe inafaa, hasa kwa mtu anaenza.

02: Kutokana na nature ya familia yangu na kazi yangu, ikiwa itajulikana kuwa natumia pombe itawadissapont sana familia yangu na pia itaathiri kazi yangu.

Hivyo basi nataka kutumia kwa siri nikiwa nimetulia 'gheto'..hivyo pombe hiyo ni lazima iwe take-away.

Lakini pia uchumi wangu sio mzuri, naomba pombe hiyo iwe 'cheap in terms of cost' let say iwe less than 5000 per bottle.

Naomba jina la pombe ambayo ina-meet above conditions

Nawasilisha, umri middle 20's
Nitakushauri pombe nzuri ya kunywea geto kwa siri lakini kwanza pitia huu uzi.. Some kwa kutulia
Anza na serengeti lite badae uanze kupiga ka konyagi kadogo hutajutia
Shida ya pombe haina kipimo hasa ukiwa na stress na ikishapenya hufungua kufuli za usiri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom