Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 18,373
- 37,192
Bro mshana,Nitakushauri pombe nzuri ya kunywea geto kwa siri lakini kwanza pitia huu uzi.. Some kwa kutulia
Shida ya pombe haina kipimo hasa ukiwa na stress na ikishapenya hufungua kufuli za usiri
For years wazungu wamekunywa wanakunywa na wamefanya vumbuzi nyingi mpaka hizi internet, simu, treni, baiskeri, lami na magari na vingine vingi vingi.
Ushauri wako ni mzur sanaa wenye kumsaidia mtu mwenye kuokota nguvu kazi Ila hizi pombe ni kunywa kwa discipline Sanaa na kuto kuzidisha kiwango/ kipimo chako Tena weekend au jioni baada ya kazi kunywa for recreational purpose.
Huo ndio ushauri wangu kwa vijana upcoming nauchukiaga ulevi/walevi Ila siichukii pombe Ila tatizo kubwa lipo kwa mtu mwenyewe.