Nahitaji kuanza kutumia pombe

Nahitaji kuanza kutumia pombe

Nimepitia changamoto nyingi za kimaisha na sasa naona nina stress sana.

Nafikiria kuanza kutumia pombe ili niweze ku-cope na hali hii inayonipelekea kuwa na mawazo sana

Nimekuja kwenu, mnisaidie mambo yafuatayo:

01: Ni aina gani ya pombe inafaa, hasa kwa mtu anaenza.

02: Kutokana na nature ya familia yangu na kazi yangu, ikiwa itajulikana kuwa natumia pombe itawadissapont sana familia yangu na pia itaathiri kazi yangu.

Hivyo basi nataka kutumia kwa siri nikiwa nimetulia 'gheto'..hivyo pombe hiyo ni lazima iwe take-away.

Lakini pia uchumi wangu sio mzuri, naomba pombe hiyo iwe 'cheap in terms of cost' let say iwe less than 5000 per bottle.

Naomba jina la pombe ambayo ina-meet above conditions

Nawasilisha, umri middle 20's
Zipo nyingi tu;jobo, coffee sprit,jogoo,n k za buku 2 tu
 
Kunywa nyagi
Nikiwa chuo cha Misitu Omotonyi (FTI) miaka hiyoo washkaji walinitembelea chuoni weekend moja,na baadae tukaenda town kwa sister angu mmoja. Sasa tukiwa kwa sister baada ya msosi wa nguvu akaleta vinywaji (bia,konyagi, wine na soda). Katika wale washkaji zangu mmoja alikuwa njagu na hajawahi kunywa pombe kabisa. Hivyo akawa yeye anakunywa soda, na baadae akaomba aonje wine, tukamchanganyia na soda kidogo. Alivyoanza kuchangamka akaanza kupiga wine kavu na baadae sista akamuwekea na konyagi mdogo mdogo...jamaa akaanza kufakamia kwa fujo (jamaa alikuwa pande la mtu!!). Basi bwana jinsi tulivyo endelea na ulabu jamaa akazidiwa. Akasimama ili aende toilet aiseee jamaa alianguka kama gunia la viazi na ghafla akazima!! Kumbuka jamaa anakaa police quarters, hivyo sista akatafuta tax tukampeleka kwake. Ile kufika wakati tunambeba mzega mzega kumuingiza kwake mkewe kumuona akapiga bonge la kelele daaah...kabla majirani zake hawajajaa sisi tukaondoka faster kimyakimya...pombe hizi hahaaaaa
 
Mimi ndo nimeanza leo kunywa najifunza
20241130_190005286.jpg
 
alcohol inaweza kuwa na kaburi lako la kupiga hatua na kuua ndoto zako

Kuna watu wapo financial stable na wanauwezo mkubwa wakulewa kuanzia Monday to Sunday Ila hawa wataathirika kiafya na sio kiuchumi.

Sasa mwenzangu think twice if you real want to be alcoholic man or not.
 
Huwezi kuficha, pombe ina harufu yake, kuna mtu mwenye uwezo wa kunasa harufu yake hata kama ukiwa umbali wa m 10.
Bado hujafanya utafiti.....bia zoteee zenye kimea masafar lager , castle, Serengeti Zina harufu..

Konyagi Kuna vitu ukichanganyia hazitoi harufu mfano ukichanganyia energy drink ya mo energy, ukwaju , embe, tangawizi, tonic water kwisha habari yake haitoi harufu kabisa.
 
alcohol inaweza kuwa na kaburi lako la kupiga hatua na kuua ndoto zako

Kuna watu wapo financial stable na wanauwezo mkubwa wakulewa kuanzia Monday to Sunday Ila hawa wataathirika kiafya na sio kiuchumi.

Sasa mwenzangu think twice if you real want to be alcoholic man or not.
Kuna walevi na wanywaji.. unakunywa kwa KIASI/ KIPIMO Tena jioni baada ya kazi.

Kama unywaji wa pombe ungekua una madhara Kama unavyo portrait hapa Basi Kama wazungu wali ABOLISHED SLAVE TRADE nakuhakikishia kua ALCOHOL INGEKUA IMESHA BE ABOLISHED zamani sanaa
 
Kuna walevi na wanywaji.. unakunywa kwa KIASI/ KIPIMO Tena jioni baada ya kazi.

Kama unywaji wa pombe ungekua una madhara Kama unavyo portrait hapa Basi Kama wazungu wali ABOLISHED SLAVE TRADE nakuhakikishia kua ALCOHOL INGEKUA IMESHA BE ABOLISHED zamani sanaa
Ooh !! OK Ila je how you can control ili usiwe mlevi

I remember way back my mama she was alcoholic na unfortunately kuna siku analewa anapoteza network na siku nyingine hapotezi network

In short hate alcohol
 
Ooh !! OK Ila je how you can control ili usiwe mlevi

I remember way back my mama she was alcoholic na unfortunately kuna siku analewa anapoteza network na siku nyingine hapotezi network

In short hate alcohol
Screenshot_20241130-191812.png

Kunywa kidogo for recreational purpose unamwona baba wa taifa hapo anapiga mdogo mdogo.
 
alcohol inaweza kuwa na kaburi lako la kupiga hatua na kuua ndoto zako

Kuna watu wapo financial stable na wanauwezo mkubwa wakulewa kuanzia Monday to Sunday Ila hawa wataathirika kiafya na sio kiuchumi.

Sasa mwenzangu think twice if you real want to be alcoholic man or not.
Daaaah... Mkuu umeandika maneno yaliyonigusa sana...

Nilikuwa very handsome boy, descent man, smart guy lakini pombe imenivuruga sana niko mbioni kuiacha kabsa!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom