Nahitaji kuanza kutumia pombe

Nahitaji kuanza kutumia pombe

Pombe sio suluhisho la kutoa stress....once pombe ikiisha kichwani stress zinarudi tena unless uwe unakunywa 24/7...sikushauri kuingia kwenye pombe sababu madhara ni makubwa kuliko faida kiafya na kiuchumi pia.

Kama hutataka ushauri wa kutokunywa basi mzee baba anza na smart Gin, double kiki na Kvaa hizo huitaji kunywa nyingi yaani kidogo tuu utasahau matatizo yako kwa muda.
 
Mkuu we acha tu
Asubuh nliamka kichwa ni kinauma balaa

Hiv mtu anawezaje kunywa ma serengeti 8-9-10 hayana hata sukari wala utamu
Beer inakuwa chungu kama hujazoea. Ukizoea huwa inakuwa tamu sana, kunywa beer 10+ usishangae. Maana unakunywa huku unaenda kukojoa kila baada ya muda.
 
Karibu kwenye chama

FXs_UV0UEAISW4e.jpg
 
Sure mkuu! Juzi nimetoka kumzika jamaa yangu, kaanza kula mitungi baada ya kumaliza chuo, sijui kawaje, kazidi hadi wazoefu.

Alilewa akapata ajali, kichwa kikapasuka. Tumemzika na 29Yrs. No child wala assert yoyote. It's very sad.
Poleni sana mkuu kitu cha kujifunza ukubwani kufata mkumbo hivi huwa kinaishia vibaya sanaa
 
Na pombe ikikuzidia mjomba utagongwa kota km mzinga wa konyagi
 
Ila kumbuka pombe ni kama kufunga ndoa wengine wanatamani kutoka wengine wanatamani kuingia nashukuru Mungu nilianza mapema sana ila mwisho wa siku nikagundua faida dhidi ya hasara ni 5% kwa 95% respectively, nashukuru Mola nimelijua mapema while I still got a chance
 
nimepitia changamoto nyingi za kimaisha na sasa naona nina stress sana,

Nafikiria kuanza kutumia pombe ili niweze ku-cope na hali hii inayonipelekea kuwa na mawazo sana

nimekuja kwenu,mnisaidie mambo yafuatayo:

01:ni aina gani ya pombe inafaa,hasa kwa mtu anaenza

02:Kutokana na nature ya familia yangu na kazi yangu,ikiwa itajulikana kuwa natumia pombe itawadissapont sana familia yangu na pia itaathiri kazi yangu

Hivo basi nataka kutumia kwa siri nikiwa nimetulia 'gheto'..hivo pombe hiyo ni lazima iwe take-away

Lakini pia uchumi wangu sio mzuri,naomba pombe hiyo iwe 'cheap in terms of cost' let say iwe less than 5000 per bottle

Naomba jina la pombe ambayo ina-meet above conditions

Nawasilisha,umri middle 20's
Funga kula kwa saa kadhaa au OMAD ila funga kwa siku tatu mfululizo kila Juma utanishukuru baadae,tofauti Na hapo ukinywa pombe umekwisha na ukivuta bangee biashara itakukata mapema
 
Kwanza ni kijana mdogo sana,na sijui kama una changamoto kiasi Cha kutaka kunywa pombe,
Na aliekudanganya pombe inaondoa stress nae itakua alidanganywa
Hapo unasogeza mbele tatizo na pengine kuongeza tatizo
Sikushauri
 
Kampuni zinazoongoza kulipa Kodi kubwa, kampuni za pombe ndio zinazoongoza huwezi kukuta kampuni ya soda au juice.
Wanywa pombe ndio wanaoongoza kuleta maendeleo nchi hii
Karibu chamani uongeze pato la taifa

i. Tanzania Breweries Ltd. (Shilingi Bilioni 422.4);

ii. Serengeti Breweries Ltd. (Shilingi Bilioni 350.6);

iii. Geita Gold Mining(Shilingi Bilioni 300.6);

iv. Tanzania Cigarette Company (Shilingi Bilioni 92.1);

v. Tanzania Distillers Ltd. (Shilingi Bilioni 88.4); na
 
Pombr

Pombe haipunguzi stress mkuu, inaongeza stress,the Devil is cheating you.Anza kumtafuta Mungu,hiyo ndio solution ya stress.Shetani kakuletea stress sasa anakupeleka kwenye tatizo lingine,be smart,stand firm,say no.
Everything is illusion 😔
 
Kwanza ni kijana mdogo sana,na sijui kama una changamoto kiasi Cha kutaka kunywa pombe,
Na aliekudanganya pombe inaondoa stress nae itakua alidanganywa
Hapo unasogeza mbele tatizo na pengine kuongeza tatizo
Sikushauri
Yaan pombe inachukiwa bila Tatizo Tatizo ni mtu mwenyewe...
 
Starehe yeyote ukienda ukianza juu ya miaka 25 iwe umalaya pombe bangi mirungi ujue ndio mwanzo wa kuharibu maisha yako starehe za ukubwani zina addicted mbaya mnoo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom