Lovie Lady
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,826
- 4,671
👨🎤
Smirnoff black ice.Lakini pia uchumi wangu sio mzuri,naomba pombe hiyo iwe 'cheap in terms of cost' let say iwe less than 5000 per bottle
Naomba jina la pombe ambayo ina-meet above conditions
Umempigia umombo wa state 🤓🤣Neno Kipusa lina maana nyingi...depends na mazingira ya kibantu unayoishi...
#Kipusa ni vindizi fulani hivi vitamu halafu vidogo. Vinapatikana sana Kigoma
#Kipusa ni lile jino au pembe la faru
Hey , do I look like a damn diaper kid to you? Huh?! I am a grown up man, I can walk the hood without a problem to get a bullshit hooptie..Back Off!! & Shut the f-word!
Atapata kisugar sugar 😂Karibu sana kwenye huu ulimwengu wa gambe!...anza na flying fish mkuu!cheers🍻
Kuna zile zipo kama spirit nimesahau jina...Atapata kisugar sugar 😂
Handsome anajulikana bob.We kweli kipusa, mwanaume mwenzako unasemaje ni handsome???
Sielewi Yani unamuangalia kidume mwenzako unaona kabisa anafaa???
Made in Tz?Kuna zile zipo kama spirit nimesahau jina...
🤣🤣🤓🤓
Ulaya zipo pale shoppers plazer mlimani cityMade in Tz?
Nakunywa sweet red wine robo glass baada ya dinner tena sio kila siku. Hii ni nzuri kwa tumbo na longevity. Tafuta namna ya kuondokana na stress zako ikiwa ni pamoja na kutatua matatizo yako na kufanya shughuli halali zenye kuku keep busy. Ulevi ni kitu mbaya sana!nimepitia changamoto nyingi za kimaisha na sasa naona nina stress sana,
Nafikiria kuanza kutumia pombe ili niweze ku-cope na hali hii inayonipelekea kuwa na mawazo sana
nimekuja kwenu,mnisaidie mambo yafuatayo:
01:ni aina gani ya pombe inafaa,hasa kwa mtu anaenza
02:Kutokana na nature ya familia yangu na kazi yangu,ikiwa itajulikana kuwa natumia pombe itawadissapont sana familia yangu na pia itaathiri kazi yangu
Hivo basi nataka kutumia kwa siri nikiwa nimetulia 'gheto'..hivo pombe hiyo ni lazima iwe take-away
Lakini pia uchumi wangu sio mzuri,naomba pombe hiyo iwe 'cheap in terms of cost' let say iwe less than 5000 per bottle
Naomba jina la pombe ambayo ina-meet above conditions
Nawasilisha,umri middle 20's
Mie sio mlevi 🙆♀️ unanipa shida kuchanganuaUlaya zipo pale shoppers plazer mlimani city
Zipo shoppers plazer zinakua tamu tamu kama spirite Zina alcohol 4.5Mie sio mlevi 🙆♀️ unanipa shida kuchanganua
Huyu ndio anaanza anahitaji vitu laini😅Atapata kisugar sugar 😂
Kuna four cousin na wenzake 😂😂Huyu ndio anaanza anahitaji vitu laini😅
Red Sweet Wine/Red Dry Wine, Unakunywa Glass Moja Baada Ya Kula Mlo Wako
Ni imported beer or?Zipo shoppers plazer zinakua tamu tamu kama spirit Zina alcohol 4.5