Mkuu tutake radhi... In JPM voice...😊😊🤓🤓Comment za walevi huwa zinafurahisha sana,
nimepitia changamoto nyingi za kimaisha na sasa naona nina stress sana,
Nafikiria kuanza kutumia pombe ili niweze ku-cope na hali hii inayonipelekea kuwa na mawazo sana
nimekuja kwenu,mnisaidie mambo yafuatayo:
01:ni aina gani ya pombe inafaa,hasa kwa mtu anaenza
02:Kutokana na nature ya familia yangu na kazi yangu,ikiwa itajulikana kuwa natumia pombe itawadissapont sana familia yangu na pia itaathiri kazi yangu
Hivo basi nataka kutumia kwa siri nikiwa nimetulia 'gheto'..hivo pombe hiyo ni lazima iwe take-away
Lakini pia uchumi wangu sio mzuri,naomba pombe hiyo iwe 'cheap in terms of cost' let say iwe less than 5000 per bottle
Naomba jina la pombe ambayo ina-meet above conditions
Nawasilisha,umri middle 20's
Mtu hajaomba ushauri wa maisha ww unaanza na ushauri,Kijana
Sikushauri kunywa pombe na zaidi tafuta starehe nyingine pombe kama huna hela nzuri utaishia kwenye madeni .
Pombe usipoweza kujidhibiti utakuwa na magonjwa ya zinaa kila uchwao .
Pombe ukiendekeza utafeli mipango ya maisha
Mwisho pombe ni uraibu mbaya kuacha sio rahisi .
Siongei nikiwa nyumbani naongea nikiwa bar nakunywa pombe kwa hela yangu ila sitamani uje huku .
Nilianza kunywa pombe nikiwa na miaka 14 , sasa mimi kwa maelezo yako ni baba yako , nilitamani kuacha nikiwa na miaka 29 sijafanikiwa mpaka sasa na uzee huu .
Pombe imenipunguzia heshima kwa jamii kubwa iliyodhani mimi ni mtu wa heshima kwa elimu yangu na kazi yangu .
Pombe imenipunguzia ufanisi kazini , pombe imepelekea sasa nina gonjwa lisilotibika japo lipo katika early stage hivyo naweza kupambana kupona nikiamua .
Pombe imenifanya vitu vingi kuamuliwa na ndugu na mke hata kama kitu naona naweza kuamua mwenyewe lakini bado naamuliwa kwa nguvu .
Ndugu sikushauri kunywa pombe , watakuja vijana sio muda watasema nakunywa matuputapu wambie sijaanza kunywa pombe Tanzania hivyo wakumbushe nje hakuna mataputapu .
Usinywe pombe .
Kwasasa Mbeya pazuri .
Huyu nafikiri huenda itakua kamiss kuvaa pampers., Si bure! Anataka Dj amrudishe utotoniPombe za kujifunzia ukubwani achana nazo mkuu
Atakumbukwa nini Kila kitu ni kuki control kilevi chochote wew NDIO ukiendeshe sio chenyewe kikuendeshe....Acha kabisa nakushauri, utakumbuka ushauri huu ukifikia 40 to 50 yrs old
We kweli kipusa, mwanaume mwenzako unasemaje ni handsome???Huyu nafikiri huenda itakua kamiss kuvaa pampers., Si bure! Anataka Dj amrudishe utotoni
Anywe nyagi geto, azime..na tena asahau kufunga mlango...wahuni wapite nae kipopobawa.
Stakafirura, mwanaizaya we jamaa...unautafuta ushoga kwà Nguvu!
Note: Kuna jamaa nilisoma nae Chuo, alikua bonge la handsome....
Alijitunzia Pombe chuoni...akawa anarudishwa kalewa chakali hostel,....kisha wahuni wakaanza kupita nae huku wakimrekodi.
Mkuu ishu ni msimamo ukishajua mm level yangu ni hii hauzidishi....Huyu nafikiri huenda itakua kamiss kuvaa pampers., Si bure! Anataka Dj amrudishe utotoni
Anywe nyagi geto, azime..na tena asahau kufunga mlango...wahuni wapite nae kipopobawa.
Stakafirura, mwanaizaya we jamaa...unautafuta ushoga kwà Nguvu!
Note: Kuna jamaa nilisoma nae Chuo, alikua bonge la handsome....
Alijitunzia Pombe chuoni...akawa anarudishwa kalewa chakali hostel,....kisha wahuni wakaanza kupita nae huku wakimrekodi.
Mkuu Kuna watu ni ma handsome Mimi ni mmoja wao....We kweli kipusa, mwanaume mwenzako unasemaje ni handsome???
Sielewi Yani unamuangalia kidume mwenzako unaona kabisa anafaa???
Soma Biblia, ...Inasema...Joseph was a very handsome man and well- builtWe kweli kipusa, mwanaume mwenzako unasemaje ni handsome???
Sielewi Yani unamuangalia kidume mwenzako unaona kabisa anafaa???
Nipo nasubirDear gambe,ngoja nikapate mbili tatu nije kukupa ushauri murua.