Nahitaji kuanza kutumia pombe

Nahitaji kuanza kutumia pombe

nimepitia changamoto nyingi za kimaisha na sasa naona nina stress sana,

Nafikiria kuanza kutumia pombe ili niweze ku-cope na hali hii inayonipelekea kuwa na mawazo sana

nimekuja kwenu,mnisaidie mambo yafuatayo:

01:ni aina gani ya pombe inafaa,hasa kwa mtu anaenza

02:Kutokana na nature ya familia yangu na kazi yangu,ikiwa itajulikana kuwa natumia pombe itawadissapont sana familia yangu na pia itaathiri kazi yangu

Hivo basi nataka kutumia kwa siri nikiwa nimetulia 'gheto'..hivo pombe hiyo ni lazima iwe take-away

Lakini pia uchumi wangu sio mzuri,naomba pombe hiyo iwe 'cheap in terms of cost' let say iwe less than 5000 per bottle

Naomba jina la pombe ambayo ina-meet above conditions

Nawasilisha,umri middle 20's
Bora uwe Malaya lakini usiwe mlevi mkuu.
Pombe usijaribu
 
nimepitia changamoto nyingi za kimaisha na sasa naona nina stress sana,

Nafikiria kuanza kutumia pombe ili niweze ku-cope na hali hii inayonipelekea kuwa na mawazo sana

nimekuja kwenu,mnisaidie mambo yafuatayo:

01:ni aina gani ya pombe inafaa,hasa kwa mtu anaenza

02:Kutokana na nature ya familia yangu na kazi yangu,ikiwa itajulikana kuwa natumia pombe itawadissapont sana familia yangu na pia itaathiri kazi yangu

Hivo basi nataka kutumia kwa siri nikiwa nimetulia 'gheto'..hivo pombe hiyo ni lazima iwe take-away

Lakini pia uchumi wangu sio mzuri,naomba pombe hiyo iwe 'cheap in terms of cost' let say iwe less than 5000 per bottle

Naomba jina la pombe ambayo ina-meet above conditions

Nawasilisha,umri middle 20's
Pombe itakuongezea stress mimi nimeacha nina wiki tatu cjanywa naachana nayo pombe imeniharibia sana nilikua mtu wa heshima lkn pombe ilichonifanya ctaki kuinywa tena
 
nimepitia changamoto nyingi za kimaisha na sasa naona nina stress sana,

Nafikiria kuanza kutumia pombe ili niweze ku-cope na hali hii inayonipelekea kuwa na mawazo sana

nimekuja kwenu,mnisaidie mambo yafuatayo:

01:ni aina gani ya pombe inafaa,hasa kwa mtu anaenza

02:Kutokana na nature ya familia yangu na kazi yangu,ikiwa itajulikana kuwa natumia pombe itawadissapont sana familia yangu na pia itaathiri kazi yangu

Hivo basi nataka kutumia kwa siri nikiwa nimetulia 'gheto'..hivo pombe hiyo ni lazima iwe take-away

Lakini pia uchumi wangu sio mzuri,naomba pombe hiyo iwe 'cheap in terms of cost' let say iwe less than 5000 per bottle

Naomba jina la pombe ambayo ina-meet above conditions

Nawasilisha,umri middle 20's
Smirnoff beer itakufaa sana kwa kuanzia chief, mimi ilinisaidia sana nilipoanza kujifunza kunywa gambe na hutajutia
Unawezachanganya na limao kidogo

Nakutakia kila la heri
 
Smirnoff beer itakufaa sana kwa kuanzia chief, mimi ilinisaidia sana nilipoanza kujifunza kunywa gambe na hutajutia
Unawezachanganya na limao kidogo

Nakutakia kila la heri
Ha ha ha haaa
 
Anza na Double Kick, huwa inachanganya vizuri halafu ni portable

20230505_203237.jpg
 
Fundisha hii kitu namna ya kupiga gambe😁😁
Gambe is a stress free zone
Muulize mama Natty🏃🏃🏃
Nilimfundisha mtu pasi ye kujua
Matokeo yake akaninunia.
Sirudii kwa mwingine.
 
anza na gongo la mboto a.k.a chingili
ipo siku utanishukuru mkuu
 
Nilimfundisha mtu pasi ye kujua
Matokeo yake akaninunia.
Sirudii kwa mwingine.
Sasa kawa mlevi cha pombe
Anapiga "Jagermeister" kama hana akili nzuri😁😁😁
Haka ka mbinu ka kuweka chumvi na limao kwenye gambe mfn Konyagi naamini hukajui kanakata hang over balaa😁😁😁
Mwambie mtoa mada akaribie chamani
 
Kwa kipato chako anza kunywa gongo lenye ujazo wa kopo moja la soda ndogo ni buku,volume ya alcoh ni undifined kabla hujamaliza kopo la pili hakikisha umefunga kamba kwenye suruali usawa miguu kwa kuwa ndo utakuwa unaanza ili usimwage radhi kwa kubana bajeti utakuja kunishukuru
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom