Kennedy
Platinum Member
- Dec 28, 2011
- 59,178
- 69,684
Red Sweet Wine/Red Dry Wine, Unakunywa Glass Moja Baada Ya Kula Mlo Wako
Faida Zake Tele, Nyingi Na Nzuri Sana
Red Sweet Wine/Red Dry Wine, Unakunywa Glass Moja Baada Ya Kula Mlo Wako
Bora uwe Malaya lakini usiwe mlevi mkuu.nimepitia changamoto nyingi za kimaisha na sasa naona nina stress sana,
Nafikiria kuanza kutumia pombe ili niweze ku-cope na hali hii inayonipelekea kuwa na mawazo sana
nimekuja kwenu,mnisaidie mambo yafuatayo:
01:ni aina gani ya pombe inafaa,hasa kwa mtu anaenza
02:Kutokana na nature ya familia yangu na kazi yangu,ikiwa itajulikana kuwa natumia pombe itawadissapont sana familia yangu na pia itaathiri kazi yangu
Hivo basi nataka kutumia kwa siri nikiwa nimetulia 'gheto'..hivo pombe hiyo ni lazima iwe take-away
Lakini pia uchumi wangu sio mzuri,naomba pombe hiyo iwe 'cheap in terms of cost' let say iwe less than 5000 per bottle
Naomba jina la pombe ambayo ina-meet above conditions
Nawasilisha,umri middle 20's
Wine atapandisha mizuka na huku ametoka kutendwa!Kuna four cousin na wenzake 😂😂
Pombe itakuongezea stress mimi nimeacha nina wiki tatu cjanywa naachana nayo pombe imeniharibia sana nilikua mtu wa heshima lkn pombe ilichonifanya ctaki kuinywa tenanimepitia changamoto nyingi za kimaisha na sasa naona nina stress sana,
Nafikiria kuanza kutumia pombe ili niweze ku-cope na hali hii inayonipelekea kuwa na mawazo sana
nimekuja kwenu,mnisaidie mambo yafuatayo:
01:ni aina gani ya pombe inafaa,hasa kwa mtu anaenza
02:Kutokana na nature ya familia yangu na kazi yangu,ikiwa itajulikana kuwa natumia pombe itawadissapont sana familia yangu na pia itaathiri kazi yangu
Hivo basi nataka kutumia kwa siri nikiwa nimetulia 'gheto'..hivo pombe hiyo ni lazima iwe take-away
Lakini pia uchumi wangu sio mzuri,naomba pombe hiyo iwe 'cheap in terms of cost' let say iwe less than 5000 per bottle
Naomba jina la pombe ambayo ina-meet above conditions
Nawasilisha,umri middle 20's
Smirnoff beer itakufaa sana kwa kuanzia chief, mimi ilinisaidia sana nilipoanza kujifunza kunywa gambe na hutajutianimepitia changamoto nyingi za kimaisha na sasa naona nina stress sana,
Nafikiria kuanza kutumia pombe ili niweze ku-cope na hali hii inayonipelekea kuwa na mawazo sana
nimekuja kwenu,mnisaidie mambo yafuatayo:
01:ni aina gani ya pombe inafaa,hasa kwa mtu anaenza
02:Kutokana na nature ya familia yangu na kazi yangu,ikiwa itajulikana kuwa natumia pombe itawadissapont sana familia yangu na pia itaathiri kazi yangu
Hivo basi nataka kutumia kwa siri nikiwa nimetulia 'gheto'..hivo pombe hiyo ni lazima iwe take-away
Lakini pia uchumi wangu sio mzuri,naomba pombe hiyo iwe 'cheap in terms of cost' let say iwe less than 5000 per bottle
Naomba jina la pombe ambayo ina-meet above conditions
Nawasilisha,umri middle 20's
Au amix. Apate hangaover kali, achukie 🍻Wine atapandisha mizuka na huku ametoka kutendwa!
Ha ha ha haaaSmirnoff beer itakufaa sana kwa kuanzia chief, mimi ilinisaidia sana nilipoanza kujifunza kunywa gambe na hutajutia
Unawezachanganya na limao kidogo
Nakutakia kila la heri
Hapana. Akimix atadata kabisa😅Au amix. Apate hangaover kali, achukie 🍻
Fundisha hii kitu namna ya kupiga gambe😁😁Ha ha ha haaa
Nilimfundisha mtu pasi ye kujuaFundisha hii kitu namna ya kupiga gambe😁😁
Gambe is a stress free zone
Muulize mama Natty🏃🏃🏃
Atakufa 😂😂
Hapana. Akimix atadata kabisa😅
Sasa kawa mlevi cha pombeNilimfundisha mtu pasi ye kujua
Matokeo yake akaninunia.
Sirudii kwa mwingine.
Nashindwa kumshauri vinywaji vizuri mana anataka kinywaji cha less than 5K. Smirnoff black bei gani?Anywe smirnoff black ice 6. Asipozima aje anisute
Hawezi hiyo bei mkuujack daniels😋