Nahitaji kuanza kutumia pombe

Nahitaji kuanza kutumia pombe

Mkuu Kuna watu ni ma handsome Mimi ni mmoja wao....
Naambiaaga tangu utotoni na saivi NDIO nipo kwenye PICK....

Ningeweka picha hapa sema nikujiletea shida huko mbeleni maana hapa JF ni ILLUSION

Amini Kuna wanaume ambao kama ilivyo kwenye madume ya Ng'ombe,mbuzi, nguruwe,Mbwa, Kuku, Bata Bado wangechagua mbegu Bora za kupanda majike Yao Ili kupata mbegu Bora.....
Kwa io hua unaambiwa na wanaume wenzako kua wewe ni mzuri?
 
Kuna mzee anapita kitaa akisema hii nyumba yangu ile gari yangu, nikamuuliza umenunua lini hii nyumba na hio gari?.
Akasema Pombe nilizokunywa ningekuwa naijengea, ningemiliki hii nyumba na hiyo gari. 🤣
 
Mkuu Kuna watu ni ma handsome Mimi ni mmoja wao....
Naambiaaga tangu utotoni na saivi NDIO nipo kwenye PICK....

Ningeweka picha hapa sema nikujiletea shida huko mbeleni maana hapa JF ni ILLUSION

Amini Kuna wanaume ambao kama ilivyo kwenye madume ya Ng'ombe,mbuzi, nguruwe,Mbwa, Kuku, Bata Bado wangechagua mbegu Bora za kupanda majike Yao Ili kupata mbegu Bora.....
Bila picha kweliii
 
nimepitia changamoto nyingi za kimaisha na sasa naona nina stress sana,

Nafikiria kuanza kutumia pombe ili niweze ku-cope na hali hii inayonipelekea kuwa na mawazo sana

nimekuja kwenu,mnisaidie mambo yafuatayo:

01:ni aina gani ya pombe inafaa,hasa kwa mtu anaenza

02:Kutokana na nature ya familia yangu na kazi yangu,ikiwa itajulikana kuwa natumia pombe itawadissapont sana familia yangu na pia itaathiri kazi yangu

Hivo basi nataka kutumia kwa siri nikiwa nimetulia 'gheto'..hivo pombe hiyo ni lazima iwe take-away

Lakini pia uchumi wangu sio mzuri,naomba pombe hiyo iwe 'cheap in terms of cost' let say iwe less than 5000 per bottle

Naomba jina la pombe ambayo ina-meet above conditions

Nawasilisha,umri middle 20's
Anza na double kick
 
Kijana
Sikushauri kunywa pombe na zaidi tafuta starehe nyingine pombe kama huna hela nzuri utaishia kwenye madeni .

Pombe usipoweza kujidhibiti utakuwa na magonjwa ya zinaa kila uchwao .

Pombe ukiendekeza utafeli mipango ya maisha

Mwisho pombe ni uraibu mbaya kuacha sio rahisi .

Siongei nikiwa nyumbani naongea nikiwa bar nakunywa pombe kwa hela yangu ila sitamani uje huku .

Nilianza kunywa pombe nikiwa na miaka 14 , sasa mimi kwa maelezo yako ni baba yako , nilitamani kuacha nikiwa na miaka 29 sijafanikiwa mpaka sasa na uzee huu .

Pombe imenipunguzia heshima kwa jamii kubwa iliyodhani mimi ni mtu wa heshima kwa elimu yangu na kazi yangu .

Pombe imenipunguzia ufanisi kazini , pombe imepelekea sasa nina gonjwa lisilotibika japo lipo katika early stage hivyo naweza kupambana kupona nikiamua .

Pombe imenifanya vitu vingi kuamuliwa na ndugu na mke hata kama kitu naona naweza kuamua mwenyewe lakini bado naamuliwa kwa nguvu .

Ndugu sikushauri kunywa pombe , watakuja vijana sio muda watasema nakunywa matuputapu wambie sijaanza kunywa pombe Tanzania hivyo wakumbushe nje hakuna mataputapu .

Usinywe pombe .
Kwasasa Mbeya pazuri .
Mkuu umeongea point sana, sana.
 
Bila picha kweliii
Mkuu nikutumie pm uje utoe ushuhuda....
Haya maisha still nayadai mengi.....siku Moja mje mseme Huyu am 4 real mbunge alikua anatukana humu Jf 😂😂🤣😂
Ruge alisema tuogope technologies
Alikua anachangia Uzi wa kimasiala..........
Hapana Kwa kweli
 
Mkuu nikutumie pm uje utoe ushuhuda....
Haya maisha still nayadai mengi.....siku Moja mje mseme Huyu am 4 real mbunge alikua anatukana humu Jf
Ruge alisema tuogope technologies
Alikua anachangia Uzi wa kimasiala..........
Hapana Kwa kweli
Nitumie bwana pm maisha ndio hayahaya
 
Kipusa ni Binti mrembo

Alikiba mwenyewe aliimba 'wananiita kipusa'

Wabongo insta wakalala nae mbele
Neno Kipusa lina maana nyingi...depends na mazingira ya kibantu unayoishi...


#Kipusa ni vindizi fulani hivi vitamu halafu vidogo. Vinapatikana sana Kigoma

#Kipusa ni lile jino au pembe la faru

Hey , do I look like a damn diaper kid to you? Huh?! I am a grown up man, I can walk the hood without a problem to get a bullshit hooptie..Back Off!! & Shut the f-word!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom