Nahitaji kuanza kutumia pombe

Nahitaji kuanza kutumia pombe

nimepitia changamoto nyingi za kimaisha na sasa naona nina stress sana,

Nafikiria kuanza kutumia pombe ili niweze ku-cope na hali hii inayonipelekea kuwa na mawazo sana

nimekuja kwenu,mnisaidie mambo yafuatayo:

01:ni aina gani ya pombe inafaa,hasa kwa mtu anaenza

02:Kutokana na nature ya familia yangu na kazi yangu,ikiwa itajulikana kuwa natumia pombe itawadissapont sana familia yangu na pia itaathiri kazi yangu

Hivo basi nataka kutumia kwa siri nikiwa nimetulia 'gheto'..hivo pombe hiyo ni lazima iwe take-away

Lakini pia uchumi wangu sio mzuri,naomba pombe hiyo iwe 'cheap in terms of cost' let say iwe less than 5000 per bottle

Naomba jina la pombe ambayo ina-meet above conditions

Nawasilisha,umri middle 20's
Pombr
Atakumbukwa nini Kila kitu ni kuki control kilevi chochote wew NDIO ukiendeshe sio chenyewe kikuendeshe....
Pombe haipunguzi stress mkuu, inaongeza stress,the Devil is cheating you.Anza kumtafuta Mungu,hiyo ndio solution ya stress.Shetani kakuletea stress sasa anakupeleka kwenye tatizo lingine,be smart,stand firm,say no.
 
nimepitia changamoto nyingi za kimaisha na sasa naona nina stress sana,

Nafikiria kuanza kutumia pombe ili niweze ku-cope na hali hii inayonipelekea kuwa na mawazo sana

nimekuja kwenu,mnisaidie mambo yafuatayo:

01:ni aina gani ya pombe inafaa,hasa kwa mtu anaenza

02:Kutokana na nature ya familia yangu na kazi yangu,ikiwa itajulikana kuwa natumia pombe itawadissapont sana familia yangu na pia itaathiri kazi yangu

Hivo basi nataka kutumia kwa siri nikiwa nimetulia 'gheto'..hivo pombe hiyo ni lazima iwe take-away

Lakini pia uchumi wangu sio mzuri,naomba pombe hiyo iwe 'cheap in terms of cost' let say iwe less than 5000 per bottle

Naomba jina la pombe ambayo ina-meet above conditions

Nawasilisha,umri middle 20's
Sikushauri uanze kunywa pombe Kama njia ya kutoa stress otherwise utaongeza tu stress...wenzako tunapambana sn tutoke huko na umesema uchumi wako sio mzuri plz usiingie kwenye pombe
 
nimepitia changamoto nyingi za kimaisha na sasa naona nina stress sana,

Nafikiria kuanza kutumia pombe ili niweze ku-cope na hali hii inayonipelekea kuwa na mawazo sana

nimekuja kwenu,mnisaidie mambo yafuatayo:

01:ni aina gani ya pombe inafaa,hasa kwa mtu anaenza

02:Kutokana na nature ya familia yangu na kazi yangu,ikiwa itajulikana kuwa natumia pombe itawadissapont sana familia yangu na pia itaathiri kazi yangu

Hivo basi nataka kutumia kwa siri nikiwa nimetulia 'gheto'..hivo pombe hiyo ni lazima iwe take-away

Lakini pia uchumi wangu sio mzuri,naomba pombe hiyo iwe 'cheap in terms of cost' let say iwe less than 5000 per bottle

Naomba jina la pombe ambayo ina-meet above conditions

Nawasilisha,umri middle 20's
Usithubutu mdogo wangu,hapa nilipo napingana kuacha pombe imeshindikana,ukitaka kuzidisha matatizo yako Anza kunywa,siku unastuka huna nguvu tena ya kuinuka.
Anza kushiriki shughuli za kanisani(siyo hizi mushroom churches)niunge na vikundi vya kwaya Kwa muda wa ziada,Yesu atakuponya...
 
Konyag ndogo = 4000
Value ndogo = 3500
Bongo ze don = 1000
Heineken n whindehook = 3500
Safari kubwa = 2500
Banana =1000
Ama kunywa mvinyoo wa rozela ndo hutogundulika ila inalewesha sana
 
Kichwa Chako tayari Kinaonekana ni Kichwa Cha Pombe So Usiongeze Pombe Katika maisha Yako Utanishukuru
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom