Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,498
- 45,838
Thank you dearitabiidi nikutafute mkuu waonakana una mawazo mapana sana kuhusu kilimo biashara
Mbegu zake zinapatikana wapi hapa kwetu.Hapana haya wengine wanayaita viazi vyekundu
Unaweza kupika au unakula hivyo hivyo na mchanganyiko wa salad
Ni nzuri na inaongeza damu pia
Kwa kweli sijajua kwani mimi siishi huko mkuuMbegu zake zinapatikana wapi hapa kwetu.
Poa mkuu ukija tuletee mbeguKwa kweli sijajua kwani mimi siishi huko mkuu
Ntajitahidi mkuu kuja nazo kama itapita airportPoa mkuu ukija tuletee mbegu
Hakuna mbegu zake mpaka ununue mazao yake.Ntajitahidi mkuu kuja nazo kama itapita airport
Zina aina nyingi View attachment 862009
Zipo mbegu mkuuHakuna mbegu zake mpaka ununue mazao yake.
Chukua hizo mkuu na weka kwenye Bag kubwa usiweke kwenye begi la mkononi ndiyo huwa yanapekuliwa sana.Zipo mbegu mkuu
Hapana haya wengine wanayaita viazi vyekundu
Unaweza kupika au unakula hivyo hivyo na mchanganyiko wa salad
Ni nzuri na inaongeza damu pia
Mgeta Morogoro utapata mbegu ya kutosha, Wanalima sana huko MgetaMbegu zake zinapatikana wapi hapa kwetu.
Kweli zinaongeza damu huwa nampa mwanangu sana piaHuwa natumia kuongeza damu muda wa Ujauzito. Inaongeza damu fasta,
Mkuu labda unazungumzia magimbiMgeta Morogoro utapata mbegu ya kutosha, Wanalima sana huko Mgeta
Beetroots ndio zinalimwa huko Mgeta kwa wingi, Kwanini unalazimisha magimbi??? naona huuhitaji mchango wangu, kwa heriMkuu labda unazungumzia magimbi
Hahaha eti magimbiBeetroots ndio zinalimwa huko Mgeta kwa wingi, Kwanini unalazimisha magimbi??? naona huuhitaji mchango wangu, kwa heri
Mkuu usidhani nakudharau, mimi ni mwenyeji wa Morogoro na sijawahi kuziona ndo maana nasita , hata hivyo nashukuru kwa ushauri wako.Beetroots ndio zinalimwa huko Mgeta kwa wingi, Kwanini unalazimisha magimbi??? naona huuhitaji mchango wangu, kwa heri
Beetroots zinakuja sana Dodoma. Nililima mimi mwenyewe kwa ajili ya chakula in late 90. Dodoma Mlimani. Zilizaa tena kubwa sana. Zinahitaji Drainage ya kutosha lakini unamwagia. Ukifanikiwa hii jaribu Rockets nazo zinakuja Dodoma.Wapendwa nimechoka na ajira za kubangaiza za bongo, nahitaji kuanza kilimo cha zao la beetroots maeneo ya Dodoma, Morogoro, Singida au Shinyanga. Ninachoomba msaada kwa wanajukwaa ni haya maswali hapa;
1. Zao hili linaweza kuhimili hali ya hewa ya haya maeneo na kama sio maeneo yapi ni muafaka kulima hapa Tanzania ( conducive environment to grow beetroots)
2. Ni variety ipi nzuri kupanda katika maeneo haya,
3. Je, ni mambo gani muhimu ya kuzingatia kuweza kuzalisha mazao bora
4. Masoko yake yakoje hapa Tanzania
5. Misimu yake imekaaje? upi mzuri kulima zao hili
Jukwaa hili kubwa, linawatu mahili naomba msaada jamani
Asanteni;
Chamwino Makulu.
Uongo mbegu zipo kwenye maduka ya pembejeoHakuna mbegu zake mpaka ununue mazao yake.
Mbegu Zipo kopo sh. Elfu 4 ila kuota Ni ngumu sanaHakuna mbegu zake mpaka ununue mazao yake.