Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,465
- 45,754
Hapo tunaongelea kuhusu bidhaa zetu kuuzwa kwa jina la nchi nyingineMsipende kuilaumu serikali kila kitu, kila kanda kuna kituo cha utafiti, siamini kama wadau hawa wanaoshinda jf wanashindwa kutembelea vituo hivyo na kupata elimu bure
Tunataka bidhaa zetu zionekane kwenye soko la kimataifa
Na hivyo vituo wanatoa huduma zipi za export au
Tutafurahi kuona wakihamasisha watu na kulegeza kila kitu