Nahitaji kuanza kilimo cha zao la beetroots maeneo ya Dodoma, Morogoro, Singida au Shinyanga

itabiidi nikutafute mkuu waonakana una mawazo mapana sana kuhusu kilimo biashara
Thank you dear
Maadamu tungekuwa na watumishi wa wizara yetu kuhamasisha usafirishaji wa mazao yetu nje ya nchi bila usunbufu kwa hakika tungekuwa mbali sana kimaendeleo
 
Poa mkuu ukija tuletee mbegu
Ntajitahidi mkuu kuja nazo kama itapita airport
Zina aina nyingi
20180910_095817.jpeg
 
Beetroots ndio zinalimwa huko Mgeta kwa wingi, Kwanini unalazimisha magimbi??? naona huuhitaji mchango wangu, kwa heri
Hahaha eti magimbi
Magimbi ni kama yam sasa unalazimishwa yawe magimbi mbona kazi
 
Beetroots ndio zinalimwa huko Mgeta kwa wingi, Kwanini unalazimisha magimbi??? naona huuhitaji mchango wangu, kwa heri
Mkuu usidhani nakudharau, mimi ni mwenyeji wa Morogoro na sijawahi kuziona ndo maana nasita , hata hivyo nashukuru kwa ushauri wako.
 
Wapendwa nimechoka na ajira za kubangaiza za bongo, nahitaji kuanza kilimo cha zao la beetroots maeneo ya Dodoma, Morogoro, Singida au Shinyanga. Ninachoomba msaada kwa wanajukwaa ni haya maswali hapa;

1. Zao hili linaweza kuhimili hali ya hewa ya haya maeneo na kama sio maeneo yapi ni muafaka kulima hapa Tanzania ( conducive environment to grow beetroots)

2. Ni variety ipi nzuri kupanda katika maeneo haya,

3. Je, ni mambo gani muhimu ya kuzingatia kuweza kuzalisha mazao bora

4. Masoko yake yakoje hapa Tanzania

5. Misimu yake imekaaje? upi mzuri kulima zao hili

Jukwaa hili kubwa, linawatu mahili naomba msaada jamani

Asanteni;

Chamwino Makulu.
Beetroots zinakuja sana Dodoma. Nililima mimi mwenyewe kwa ajili ya chakula in late 90. Dodoma Mlimani. Zilizaa tena kubwa sana. Zinahitaji Drainage ya kutosha lakini unamwagia. Ukifanikiwa hii jaribu Rockets nazo zinakuja Dodoma.
Kama upo makulu tafuta sehemu isiyo na udongo wa mfinyanzi. Mimi kwangu Mlimani ni udongo wa kujiachia kwa juu ingawa kwa chini ni mfinyanzi. Good luck.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom