BIGURUBE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 6,743
- 4,227
Hahaha punguza kipimo, Kula Mara moja kwa ckuPombe sinywi baby...ubwabwa tu huu
Hahaha punguza kipimo, Kula Mara moja kwa ckuPombe sinywi baby...ubwabwa tu huu
Naona unatupanga... acha nipite huko huko nikapotee ili ufurahiHakuna njia huko
Oouh.. nilisahauNimewapanga wapi bwana wewe si tumeachana au..?
Sitaki kukaharibia siku.. hakakujui hata.Haya kasalimie kamchepuko kako
hakanijui au kanajifanya hakanijui?
Wapangaji wengine vimbelembele ukiwa mgeni utajua nyumba yake.ni kweli mpangaji sio lazima amjue mwenye nyumba ila mwenye nyumba kumjua mpangaji lazima
ila si ushaiacha nyumba yako.Kuna wenye nyumba wasivyo na shobo ukiwa mgeni utasema mtoto wa mpangaji
Mwenye nyumba mwenye nyumba tu hata akikaa mbali na nyumba yake
matembele ni diet tosha,, kama unakula tembele unanenepa basi acha tu usihangaike utajiumiza bure.Hivi jamani hakunaga diet simple kwa sie wenye kupunguza vitambi Maana diet nyingi utasikia asubuhi kunywa fresh juice ya appe sijui tikiti, mchana kula kuku au samaki,Jioni anataja vikorokoro akina sie hata hatuvijui.
Hivi jaman hakunaga diet ya sie wala matembele?
diet ni muhimu sana,,,haikwepeki,,, lazima uache kabisa nyama ya ng'ombe na mbuzi. baada ya hapo chai, soda na vitu kama keki acha.Huwezi kupunguza kitambi kwa diet. Maji na Mazoezi ndiyo Dawa ya kitambi
lla saivi mwili umerudi ka awali?Ni kweli kbsa maji ya vuguvugu yanasaidia sana na results unaziona kbsa. Mimi nilishawahi kutumia maji vuguvugu na nikapungua kwa kweli.
Vipi kitambi hakijaisha bado?Hivi jamani hakunaga diet simple kwa sie wenye kupunguza vitambi Maana diet nyingi utasikia asubuhi kunywa fresh juice ya appe sijui tikiti, mchana kula kuku au samaki,Jioni anataja vikorokoro akina sie hata hatuvijui.
Hivi jaman hakunaga diet ya sie wala matembele?