mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 771
wee jamaa una roho ngumu sana....
Ila watu kama wewe lazima wawepo ili dunia izunguke na equation iwe balanced...
In short,unatudhalilisha wanaume wenzio...tena sana....tena unaidhalilisha taaluma yako pia...mimi ndo maana niligoma kabisa kuoa mwanamke mwenye elimu fupi....hawanaga akili kabisa
Simama kama mwanaume.....nahisi amekuloga tayari,ila waweza kujinasua....Pangani,Kigoma,Rufiji et all pako wazi muda wote,....waweza kwend kuokoa maisha yako mapema....
BTW mimi ningekuwa wewe,ningemuua huyo mwanamke immediately.....tena kistaarabu kabisa(kama livyouliwa sheikh Ilunga)....make hapa nakuhesabia tu.....huyo mwanamama atakupoteza wakati wowote....
Stay tuned,ila kama unapenda kumuona bado anapumua it means wewe utapotea....ili usipoteza vyote,andika urithi kwa wanao mapema,ili hata ukifa,wanao wapate pa kuanzia,otherwise....you are going to lose everything,just everything.....
The Magnificent,
Under the sun.
yaani mkuu nimesoma nikasisimkaa.ivi bado wanaume wa ivi wapo tena una elim yako?mama ako mzaz yupo??....
natamani nikuone ivi face to face nikuhamishe apo hom fastaaa...yaani amefungwa na pepo baya la uyo mwanamke..mi ningeua haki ya munguuu....ilo ni ibilisiii kaka achaaa uyo mwanamke leo jioni hii km hautaki andika urithi sasa ivi